hongera sana kenani kihongoz katibu muenezi CCM taifa upo makini kiongozi bora majibu bora akili kubwa tunaenda na mama mpaka 2035
2026-09-09 03:38:42
14
Safari Juma :
muenezi uko vizuri
2026-09-07 20:23:13
16
TANZANITE COMPUTERS :
Alekuwa ni
2026-09-09 20:49:36
6
Apolinary Mungai Msele :
Makamu wa rais alisema mapema kwa barua yake kwamba, amestaafu na hatajihusisha tena na siasa. sasa mlipokuwa mnatangaza mmefuta uwanachama mlimaanisha nini wakati yeye alishasema hataki tena siasa?
2026-09-08 12:50:17
12
star :
uko smart sana mwandishi ndo maana umepewa tuzo🥰
2026-09-10 11:39:45
12
Johnson zk :
kwaiyo rais hatumbuliw kama rais anayambuliwa kama nani?
2026-09-09 09:31:42
5
Eliza Benard :
odemba una akili kubwa mno
2026-09-10 04:50:40
7
taifa moja :
kiongozi anafaa kuwa kwenye nafasi aliyonayo,anaakili kubwa sana
2026-09-08 07:47:34
10
festo🇹🇿 :
odemba BABA heshima yako ada ya wazazi wako huliitumie kihuakika kabsa 💪💪💪
2026-09-11 12:20:41
5
herzilish 🔥🤫 :
odemba💯 tena
2026-09-08 19:49:22
4
Abiazary :
nakubali sana mwenez wetu
hiyo ndiyo siasa ya kisasa zaid
2026-09-08 10:05:42
4
Al jabri :
😂😂kwann hawataki kusema ukweli kuwa kawa mkweli kwa wananchi
2026-09-08 02:15:57
6
𝔸𝕣𝕠𝕪𝕔𝕖👊 :
Umejibu vzriiiii sanaaaaa🥰
2026-09-08 18:44:44
5
timy komba :
ccm mnajitekenya alafu mnacheka wenyewe.
2026-09-08 01:31:46
5
samasamar :
Mwanahabari ni smart sanaa kwenye maswali anayo uliza
2026-09-10 18:51:19
3
Azonto :
full odemba nakukubali kaka
2026-09-08 20:09:50
4
Nick carry305 :
ODEMBA 🔥🔥
2026-09-08 20:49:26
1
Deejay Zachaa :
ila ccm hamna kitu
2026-09-10 07:23:31
1
Raynroys star x :
nichangamoto
2026-09-07 20:46:06
4
To see more videos from user @sauti_ya_umma, please go to the Tikwm
homepage.