@mansamussaxivcom: Watanzania hamjui hesabu… au tunapenda hela ila hatupendi kuhesabu? 😂 300K kwa mwezi. Miaka 27. Average return ya 15% kwa mwaka. Result? Zaidi ya TZS 1 BILLION. Na sehemu kubwa ya hiyo hela haitoki kwenye 300K unayoweka kila mwezi. Inatoka kwenye kitu kimoja ambacho wengi wetu hatukipei muda wa kutosha: COMPOUNDING. 📈 Pesa yako inatengeneza pesa… halafu hiyo pesa nayo inaanza kutengeneza pesa nyingine. Nimetumia UTT Umoja Fund kama mfano kuelezea hii hesabu. ⚠️ Of course, 15% sio guaranteed kila mwaka. Returns zinaweza kupanda au kushuka na past performance sio guarantee ya future results. Lakini swali langu ni hili: Kama kijana wa Kitanzania, unaamini unaweza kujenga utajiri taratibu kupitia uwekezaji kama UTT… au unaona hizi ni ndoto za Abunuwasi? 😂 Andika “NIMEELEWA” kama compounding sasa imeingia kichwani. Na kama bado hujaelewa… like tu, tutajua hesabu bado zinakusumbua. 😭😂 #UTT #Uwekezaji #FinancialLiteracy #MoneyTanzania #Compounding

Mussa Baba’s
Mussa Baba’s
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 07 September 2026 16:54:58 GMT
73524
2933
210
153

Music

Download

Comments

mwaisanilason
Mwaisa OG :
Kilaza kampinga Genius [Tears of joy][Tears of joy][Tears of joy]
2026-09-08 13:55:33
0
rnb_11
rnb_11 :
Everyone speaks from their own life experience. 🥷
2026-09-08 15:46:17
0
tristiny_boy
TRISTINY :
Asante motivation speaker
2026-09-08 13:49:11
1
meanlight6
Ibou :
I will be dumb if I wait for 300k to give me 1billion in 27years, what kind of math is that????
2026-09-08 07:35:30
0
albert.meela5
Albert Meela :
Hizi hesabu zako zitakuchelewesha kijana😂
2026-09-07 19:39:40
16
fred.eliud.0
𝓚𝓲𝓷𝓰 𝓸𝓯 𝓟𝓪𝓲𝓷 :
Miezi 324 ni Sawa miaka 27😂😂
2026-09-07 18:37:11
32
babayuu28
babayuu28 :
madhara ya kupambania commission
2026-09-07 18:44:16
14
successanimalcare
@Successanimalcare🐕 :
UTT na UTI sio ndugu?
2026-09-08 01:52:10
14
abdul_tyga__99
tyga_photographer99 :
Photography 😁😎
2026-09-07 22:42:57
0
willy...hanta
willy...hanta :
miaka 27 upo tu unatunza pesa wenyewe wanazungusha wanapata faida wanakuongezea kidogo 😅
2026-09-07 19:00:53
9
isackgagili
Isack Gagili👈✍️ :
NIVIGUMU SANA KUMSANUA ANAYE ELEKEA KUIBIWA MWANETU 🤗🤗 AU BC TUMWACHE TU
2026-09-07 20:15:06
9
goodluckgodson94
GGM :
mmmmmh
2026-09-07 17:45:31
1
winnie_braids
Winnie_braidstz :
utt asili 15 faida kw amwaka pesa zinakaa miaka 10 au 20 si bora m-wekez asilimia 13 kwa mwaka na kila ukitaka kutoa unatoa
2026-09-08 10:48:46
0
kaskazini_blood
INTROVERT :
ukiwasikiliza watu WA hivi utachelewa
2026-09-08 11:01:47
3
abdul_chonchi
Abdul chonchi :
miezi 324 😂😂
2026-09-08 12:24:50
0
24_leonlekker
24_Leonlekker :
Tufanye kazi
2026-09-08 14:24:56
0
_carl01
Carl :
😂😂😂ata zan invest return si 15%😂😂
2026-09-08 09:31:21
1
icone_graphix
Icone graphix :
Sasa bila kufanya kazi yoyote hio laki 3 naitoa wapi ndugu kocha [Laugh approved][Laugh approved]
2026-09-08 12:03:29
2
djtommyjose
Tommy.joseph :
😁 kunavitu huwezi kusema uongo kweli unasema nyeusi ni nyeupe af nyeupe ni nyeusi😁
2026-09-08 12:44:58
2
bizzosela573
MYRIQ☠️☠️☠️ :
sida sio kupenda ela shida iyo laki3 kwa kuipata😒😒😒😒
2026-09-07 20:43:12
3
lipangala
Lipangala :
Hiyo hesabu ya UTT weka fomula hapo tuone
2026-09-08 04:44:11
2
vold0630
vold06 :
sorry naomba kuuliza, kuweka pesa UTT unaweza ukaweka maramoja kwa miezi mitatu? plz reply 🙏
2026-09-07 20:57:57
0
feysaza
Ms fey :
Uwongo uwongo amna hesabu za hivyo
2026-09-08 06:28:49
3
saidimpako
Mr. jerusalem :
unaingiza kiasigani kwa mwezi ili kila mwezi uweke laki 3
2026-09-08 11:10:43
1
To see more videos from user @mansamussaxivcom, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About