@dr_daniel_md: 🍽️ KULA CHAKULA KINGI KWA MPIGO SIYO AFYA! Kula kiasi kikubwa cha chakula kwa wakati mmoja kunaweza kuleta usumbufu wa mmeng’enyo wa chakula, kuongeza ulaji wa calories kupita kiasi, na kwa muda mrefu kuchangia kuongezeka kwa uzito na matatizo ya afya. 👉 Afya siyo kula mpaka ushibe kupita kiasi — jifunze kula kwa kiasi na kwa mpangilio. 🎯 Kula vizuri. Kula kwa kiasi. Linda afya yako. #Afya #Lishe #Nutrition #HealthyEating #DoctorDaniel

Doctor Daniel- Hospitali Ndogo
Doctor Daniel- Hospitali Ndogo
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 07 September 2026 17:05:55 GMT
30797
1411
70
152

Music

Download

Comments

ican.iwil
I can I will :
sherehe zenyew tunaenda mara mojamoja
2026-09-08 10:04:55
5
nassirabdallah68
Mr T9 :
Doctor naomb unblock tu
2026-09-08 10:18:21
0
cute.maya11
madam maya :
usitushauli ban utatuchangany😂😂
2026-09-08 06:35:53
10
user6197433504800
user6197433504800 :
je kwa mfono,nime nunu karanga, tende, tangawizi, kitunguu thaumu, ndizi, karoti, mdalasini na nikavisaga pamoja kama juisi na nikaweka kwenye friji nikawa nakunya kidogo kidogo je hii inamadhara au vipi?
2026-09-15 18:21:16
0
williammarco02
NGOSHA Ɛxclusive🇹🇿🏠🛖 :
napenda kuuulza doctor kunywa maji immediately after kula huwa ni sahihi na kama sio sahihi ni kwa mda Gani naruhusiwa kunywa maji baad ya kula?
2026-09-08 11:04:25
1
thegodson98
The god son :
Kaka mm nina dukuduku wale wanaotupa mafoili baada ya kula chips wapunguze pilipili wanatutesa
2026-09-08 04:42:00
2
user547302343727672
user547302343727672 :
Asante lakini kwanini haupendelei maziwa??Naomba kujua kuna tatizo ukitumia maziwa
2026-09-07 20:46:34
0
user618047780520
Rozena :
HATARI
2026-09-08 05:36:44
0
herimorn_christon
herimornchriston7 :
visinia sio Kila siku n mara Moja Moja sema tu sisi tunakula sana carbohydrates kulingana na uwezo wetu ndio shida
2026-09-11 01:48:34
2
user5969417737545
user5969417737545 :
that is truth Dr
2026-09-07 22:45:45
2
user76524423244497
Jane :
asante
2026-09-16 04:00:03
0
godwinmtewele
Zhong lee jun :
nakuelewa sana kak
2026-09-07 17:40:17
0
masemolola40
Masemo [email protected] :
docta nisaidiye jina ladawa ya vidonda vya tumbo
2026-09-16 15:07:30
0
mamumkabala
mamumkabala :
kaka nina shida na namba yako kaka
2026-09-10 13:53:31
0
skybarbers_tz
skybarbers_tz :
unatuchanganya bwanaaa😅
2026-09-09 12:14:23
0
ramaz0ne
MSELA ZONE :
siwezi kuacha
2026-09-09 01:12:44
0
jeffmwakaje
jeffmwakaje :
mbona buffet iko miaka mingi na wanachanganya vyakula kama visinia na hakuna shida
2026-09-09 17:45:04
0
rahelndalahwa
RAHEL NDALAHWA :
Dr kwanini maziwa yazuie madinu ya chuma kumeng'enywa kutoka kutoka kwenye mboga za majani?
2026-09-08 12:19:50
0
user2161197295829
jackie Enock :
safi sana Dr Daniel
2026-09-09 06:35:47
0
zubeda.kapolo
Zubeda Kapolo :
Unatunyanyasa sana wew kaka kwakweli
2026-09-08 17:47:33
0
subira0917
subira :
asante sana
2026-09-16 12:16:58
0
falumgeni
RAMSONNY TZ :
kaka nimeanza kukufatilia kitambo sijakufollwo ila reo nimekufollw
2026-09-18 06:40:23
0
www.karamqjongo.com
السيف لقتل مهرطق :
sasa kweny shereh tunalazimishwa kucheza...sasa usipokula hivo ukashiba unafkir nguvu ya kucheza unaipata wapi doctor??!!
2026-09-09 07:59:08
0
thadeyngellesh
TATA :
sasa hapo kwenye ugali samaki na mchicha kuna aina ngapi za vyakula kama sio zote? msitufanye tuishi kwa wasiwasi bhanaa
2026-09-08 19:14:57
0
maduhugenge14
Jacob Malugu :
kwamfano ugali wali ndizi ngano vyote vipo kundi moja sasa kama vipo kundi moja wanga . kuna aina nyingi za fati and etc . iweje sahani moja ya hiyo mochanganyiko ilete madhara. mfano sahani ina wali ndizi tambi gimbi vyote ni wanga tukienda mboga nyama ya kuchoma samaki maharagwe vyote ni protin kuna mboga za majani.... sasa kama vyakula vinakuwa kundi moja aina tofauti tofauti ya chakula... kwanini vilete shida ndani ya tumbo japo vipo kundi moja
2026-09-07 17:46:52
0
To see more videos from user @dr_daniel_md, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About