@mcshondelive: Sababu za kata 10 Temeke kuwa sehemu ya bandari

mcshondelive
mcshondelive
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 07 September 2026 17:19:02 GMT
9695
462
22
20

Music

Download

Comments

shabani_store
SHABANI STORE :
Nimesoma comment zote
2026-09-08 07:06:01
0
wachimbaji_visima1
WACHIMBAJI VISIMA TANZANIA✅ :
kwa nini bandari wasiweke OSTERBAY na MASAKI
2026-09-08 04:40:48
3
hadjiabdul
Hadji Abdul :
huu ni ujinga wa kiwango cha juu, hiz folen ztaishaje? kwala inafanya kaz gan?
2026-09-07 18:25:15
3
godfreymngoni
Ngonifaceless channel :
Mkuranga bado kuna mapori mengi
2026-09-08 02:47:48
3
idubula.com
Kemmy Rwechungula Francis :
Alisema atakaye kataa ipo halmashauri ndiyo yenye mamlaka atapambana na sheria. fafanuani vzr. yasiwe yale ya TTCL mwaka 1994 wafanyakazi wakastaafishwa mpaka leo hii hakuna walicho ambulia.
2026-09-08 05:20:22
1
shabiru.mwarubain
Shabiru Mwarubain :
Eeeeeeh kwenye iy kilakala nimefulai maan vijana weng uku awanaga kazi hii inawez kukomboa jaazi
2026-09-07 18:43:13
1
othuman.omari5
Simeon mogravic 🪖🪓 :
watoe kirwa road police waweke ICD
2026-09-08 21:19:16
0
binuzi822
Bin uzi :
Kwan Bandar ya Kwala iliwekwa kwa ajili nini..?
2026-09-08 07:08:56
0
jvm.entertainment
JVM entertainment for all :
Lakin msifanye vitu kwa kukurupuka subilieni mtakuja kujua kwann makotena hayatakiw mijini pia bandar kavu hazitakiw maeneo ya makazi hivyo watu wanajaribu kuondoa hadha ya usafir kuweka msongamano hiyo ingekuwa vizur mngewaachia mipango miji na watalamu la usafirishaji (LOGISTICS)
2026-09-08 15:14:23
0
user8704009915706
[email protected] :
Nendeni mkasome logic and reasoning haiwezekani kuingia kwenye kwenye uwekezaji yaani kutumia fursa bila kupisha eneo au kuuza nyumba yako.
2026-09-07 21:16:07
0
user5698752799737
Kumba Junior :
Sina hakika kama huyu mkuu wa wilaya na hizo takwimu zake kama atabaki kwenye hiyo nafasi yake zaidi ya mwezi mmoja, Ngoja bi mkubwa atoke msibani.
2026-09-07 19:53:35
1
kufarazima
Kufa lazima :
Natamani kulia ira ainisaidii kitu sasa foleni ya maroli itaishaje yaani Tanzania kumamayo inachosha
2026-09-07 18:56:42
2
silvestamazira
Mazira The Great :
Kwa mpango huo wa temeke Kulikuwa hakuna Ulazima wa Serikali kutumia fedha nyingi UJENZI WA BANDARINYA KWARA..... Kwa myamo wangu Huo Ni mpango wa MATAJIRI wa Dar kuto Kupeleka Mizigo KWARA kuepuka Ghalama ya Kupeleka Mizigo na Ushulu wa Mzigo kukaa KWARA. Na raia hawawezi Lazimishwa kuhama Ila watahama wenyewe kutokana na Kelo na Athari za kuwepo Bandari Kavu kwenye Maeneo ya Makazi. Kama mtoa tamko alikuja na wazo hilo mwenye basi Hakufiria vizuri wazo lae na Kama wazo hilo aliletewa mezani na MTU mwingine basi Alilishwa pasipo kutafna mana Hilo ni wazo la MATAJIRI wenye akili ndefu na Mkakati mrefu
2026-09-07 19:05:12
2
brianmatwema
brianmatwema :
Poor planning leads to frustration. And exposure. Sasa hii imeexpose akili za vilaza wanaoongoza watu
2026-09-07 19:35:09
1
manvet
manvet :
Kwala = ela zime tupwa bure😂😂
2026-09-08 23:06:11
0
dundukamadunduka
dunduka madunduka :
Foleni ni changamoto jijini bado badala muendeleleze maeneo ya wazi mnataka kuhamisha watu mwisho wa siku mtawalipa eneo litakuja kubaki kama kule pekasi kawe
2026-09-08 06:24:13
0
luangilahemedi
luangilahemedi :
[Power][Power][Power]
2026-09-07 18:19:19
1
comprehensive47
Easy Go Group Company :
🥰🥰🥰
2026-09-08 11:29:56
0
sakaya.lobebeki0
Sakaya Lobebeki :
🥰🥰🥰
2026-09-08 07:17:50
0
To see more videos from user @mcshondelive, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About