maneno haya angeyasema pasta rose comment section ingekua anatupotosha wanawake,anamaumiv ya ndoa ooh mtumish mmoja amfariji ooooooh ooooh
2026-09-09 13:32:44
2
user917116710393 :
ecactly
2026-09-08 15:47:50
3
Sia :
mko Sawa na Madam Rose
2026-09-08 16:29:55
5
LABSON NDITIYE :
rose na ww ni kitu kimoja akuna kitu naweza kuchukua kwenye hili fundisho la ndoa, ule mwili mmoja mnaotufundisha uko wapi ?...mafundisho ya ndoa yamekua mengi na bado ndoa mnazofundisha zinakufa lazima kuna shida kwenye aina ya mafundisho mnayotupatia...zamani baba zetu haya mafundisho hayakuepo na ndoa zao zilidumu..lord have mercy on us.