@abuu_muswaddiq_nassir: #islamicstatus #sunnah #abuu_muswaddiq_nassir #quran

abuu_muswaddiq_nassir
abuu_muswaddiq_nassir
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 08 September 2026 04:16:43 GMT
41189
1494
51
100

Music

Download

Comments

muslim02130
Muslim.☪️.🕌.🕋☝️ :
Ni kweli, wanazuoni wengi wanakataza kuchora kwa mkono au kutengeneza sanamu za viumbe vyenye roho. Lakini kwa upande wa picha za kamera na simu za kidijitali za sasa, wanazuoni wengi wa sasa wanasema zinajuzu (zinaruhusiwa) kwa sababu si 'uumbaji' bali ni mfano wa kuangalia kwenye kioo au kivuli tu, mradi zisivunje maadili."
2026-09-09 16:00:08
3
fahadmartinez
Fahad34🍻 :
shekhe kajiamulia kuifanya picha iwe haram
2026-09-08 18:46:15
2
abdillahiyussuf45
Abdillahi Yussuf :
kama picha ni Haram je ? hizi video za mawaidha nazo ni vipi hapa maana ni picha nazo
2026-09-08 11:27:23
6
mwinyihussein1
mwinyi hussein :
Jambo zuri na ndio maana ata kujenga sitojengwa maana watanikumbuka
2026-09-08 04:45:20
2
ukhtybuthayn5
UKHTY BUTHAYNA ❤️ :
nijitahidi kusoma sasa
2026-09-09 10:38:45
0
yunnus.ahmed7
Mr spices :
Bana suala la picha tufafanulieni vizuri mana kwenye passport kwenye vitambulisho na kazaa wa kazaa Ila kusema picha kama picha Nachoka Mimi 😂😂
2026-09-08 18:59:38
0
iddyiddy47
The_giant_47 :
jaman tusome jaman jaman tusome sasa utamxomeaje na umkumbuki??
2026-09-08 11:05:25
0
mombasatuktukdealers
mombasatuktukdealers :
je maahekhe passporti zenu hua mwapijwa nini video na id zenu hazina picha
2026-09-08 19:48:59
0
miraji1585
DIGGO, ❤️ :
kwahiyo Mimi nisiwe na picha za marehemu mkewangu? hapana kwahilo, 😒😒😒😒😒 hapana, hapanaaaaaaaaa, hapanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,
2026-09-08 11:25:36
0
kombothegreat7
kombothegreat7 :
Vipi video za mawaidha aliyetoa marehemu
2026-09-08 12:57:22
2
kipyuda_wa_family
mounah love 💕 :
picha ile iliyopo kwenye album kwenye sim utaichana aje 😂😂😂
2026-09-08 19:13:27
2
nassor.suleiman88
Nassor Suleiman :
Wanajisemea tu ovyo
2026-09-08 18:47:04
1
abdallah.nondo
Abdallah Nondo :
sawa tik tok nayo
2026-09-08 14:28:47
0
ceekhaan
♏_khaan 📿 :
sasa na picha aliye hai ni haramu pia? duh hakika hilo sikulijua mimi
2026-09-08 17:24:16
0
chinakungfuw1
China kungfuw :
mnaosema picha haramu acheni kutumia cm maana kwenye cm picha za viumbe hai ndio cm yenyewe
2026-09-09 12:13:09
0
ramia.bashiru.ikoi
mulez زمى babu athumaniyii :
uharam wake uko wapi
2026-09-08 15:30:07
0
almuhajirin506
Al-Muhajirin (المهاجرين) :
kuhus picture kwa mim navy jua kilaaa mtu anafat madhehebuu ya maimamuuu kuan wengine masanamu kunawengina picture
2026-09-08 05:41:06
0
sb_motors7
SB_MOTORS :
kwann ni Haram??
2026-09-08 09:34:24
0
asha.salum83
Asha Salum :
sasa kama picha haramu.mbona masheikh wanapiga picha ktk mihadhara,miskitin,na wanatolewa ktk TV na calenda au vip hapo
2026-09-08 10:49:15
0
ommy.mshua
#ommy mshua #👌🩷 :
kama picha ni haram vp sauti za viongozi waliokufa kuna masheeee kibao mnarusha mawaidha yao kwenye midia
2026-09-09 18:03:47
0
kautharyussuf397
Yussuf :
Lakin vitambulisho vya nida mnavyo
2026-09-09 21:25:04
0
sk12_45
A :
picha haraam lakini haiwezi kuhiji makka pasipo na passport ambapo kwenye passport unakuta picha.
2026-09-08 14:03:04
1
mostunajr3
mo stuna :
Samahan je uko nchi za kiarabu mfano Morocco uko misri Mbn kuna picha kweny ofisi zao za kiislam
2026-09-08 13:51:04
0
sallysavage_69
lil sally :
ko hata kupga picha waislam ni haram
2026-09-08 10:13:37
0
To see more videos from user @abuu_muswaddiq_nassir, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About