@jonstarofficial: "Mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe" Unakumbuka nini kwenye huu wimbo? Marehemu Banza Alitisha sana kwenye verse yake hapo 🔥🔥 #Daima #Nostalgia #SisiTumeanza
Millennials wenzangu tupunguze kula sukari zaid na vyakula VYA chumvi
2026-09-08 19:51:39
68
Liney :
Niko na hizi Suti tu naona alipimwa Mmoja kuwakilisha wengine
2026-09-08 19:14:52
27
Collora-92 :
R.i.p leyla hatibu
2026-09-08 15:12:33
11
Free Soul💃 :
Sio kuolewa au kuoa inabidi tuwe tumekufa kabisa😁
2026-09-09 06:46:27
11
cngle☣master🇹🇿 :
walikuwa hawaimbi matus na tulikuwa tunasikiza sanaa
2026-09-09 04:33:03
11
Deno Madini :
RIP Banza stone
2026-09-11 19:50:13
1
DODOMA FINEST 🇹🇿🇲🇦 🇸🇦 :
mimi ndo uyo alievaa cheni🤣🤣🤣🤣
2026-09-08 16:45:10
2
Mrs Unknown🥰🦋 :
Sisi tuliokuwa tunaenda ccm mwijuma na kukaa mwananyamala tunaelewa hii 😂😂😂😂😂😂😂
2026-09-09 04:58:49
8
Balige Vision :
ramadhani masanja,Banzastone, mwalimu wa walimu,makavele,general, baba haji yote yalikuwa majina yako tunakukumbuka sana ndugu yetu mungu aiweke robo yako peponi
2026-09-09 10:22:18
8
Pangras :
makoti nn,hapo ndy mahandsome na huyo dada ndy ma star bomba jmn, tulikuwa tunasikiliza saa 12 clounds fm yaan jmn! huyo dada & banza stone pumzikeni kwa amani...
mtaji w maskini ni nguvu zake na kanga tumevaaa
2026-09-12 00:51:23
3
Eddy Chulbul Shibulb :
nashukuru mungu kwa Sasa Nina miaka 48 ..Aaaamiin🤲🤲🤲
2026-09-08 19:23:52
9
gama linyo :
sasa minta oa nani kila mtu ana wakake
2026-09-11 06:14:14
0
Baba-Rachel🙏 :
Ramadhan Masanja
Alizaliwa kipindi cha mfungo wa Ramadhan
na kufariki kipindi cha Ramadhan
2026-09-08 20:18:09
10
Jojooo :
jaman umenikumbusha malehemu mam angu 😭😭
2026-09-09 19:37:19
1
Ommy Ibra :
Banza Stone ni miongoni mwa watunzi bora wa muziki wa dansi kuwahi kuzaliwa nchini Tanzania, hapo yupo na Abdul Misambano, hapo akiwa na TOT Band
2026-09-10 16:20:03
2
Ibrah msimbazi :
na sijaoa mpaka sasa😂😂😂
2026-09-09 11:10:34
2
Athumani :
watu tunawajukuu
2026-09-08 20:12:27
2
Salum Mbaraka :
tena ITV
2026-09-09 07:15:19
2
JPM :
huu wimbo naupenda. kama una full video yake naomba
2026-09-08 15:07:56
1
McOdindo :
Musoma na Mwanza enzi hizo.duh nimekumbuka mbali sana leo nina miaka 51
2026-09-09 15:29:23
2
Bony Kusundwa :
jamn kipindi hicho nipo primary jamn nilikuwa kijana mdogo
2026-09-08 20:02:02
2
saadamosh :
🤣🤣🤣 yaan mimi hata wazo la ndoa na la mtoto sina kabisaa, age go na wala sijari mie
2026-09-09 18:11:34
2
Jeyder 🎙️ :
NILIDHANI NI BENDI YA CCM
2026-09-09 06:44:46
1
To see more videos from user @jonstarofficial, please go to the Tikwm
homepage.