Ee Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema, upendo na amani naomba ubariki kila atakaesoma ujumbe huu, umfungulie milango ya baraka, bariki uchumi wake, uzao wake achilia ulinzi katika kazi, familia na mipango yake, na umjaalie hekima na busara katika maisha yake na umjaalie awe na mwisho mwema, katika jina la Yesu ameen.
2026-09-09 07:44:59
31
Jackie🍒 :
Mungu kibali tu baraka juu ya watoto wangu na wazazi wangu usije kuacha tukaabika🙏🙏🙏