@bbcnewsswahili: Eda ni nini? Na je, Rais Samia ataweza kufuata utaratibu wa eda akiwa madarakani? Mwandishi wa BBC @mariammjahid alizungumza na Sheikh Hassan Kinyua kupata maelezo ya kina #bbcswahili #tanzaniantiktok🇹🇿 #kenyantiktok🇰🇪 #fypシ゚viral #foryou #imani #edda
Alijichagua kuwa Rais, hakuchaguliwa kwahiyo usitusemee wananchi wa Tanzania, ukweli tunaujua sisi @bbcnewsswahili
2026-09-08 15:52:17
33
Eva Akyoo :
usitidanganye haruhusiwi
2026-09-08 15:49:29
4
Abdulnurbilhusni :
hiyo ni Sheria yenu ya serekali lkn Sheria ya dini haruhusiki kutoka hata nje Kwa muda uliopangwa na Sheria ya dini
2026-09-08 16:57:40
41
𝗞𝗜𝗡𝗚-𝗙𝗘𝗜𝗦𝗔𝗟 :
kabla ya eda kwanza mwanamke afaa kwa kiongozi mkuu wa nchi...?
2026-09-08 19:42:52
7
Mr H :
ndio maana kila nchi iko Na vice President
2026-09-09 03:25:13
1
Number six :
Anaemluusu ninani nawakati din inakataza
2026-09-08 15:45:31
17
@dullynabz :
sina maoni
2026-09-08 17:46:38
2
Desse'_🚛🛻 :
lekebisha kauli yko hajachaguliwa na wananchi
2026-09-08 16:04:49
4
Mohd Hatibu :
Apo kwenye kuchaguliwa tu ndo ulipokoaea vyengine ni sawa Ila hatukumchagua
2026-09-08 15:56:54
11
I'm ethán 🌴 :
Naogop ku Comment
2026-09-08 15:20:38
11
Ben ngola :
ni vyema interview hii angepatikan shehe kutoka nje
2026-09-08 15:52:22
7
Hassan :
subhanallah Aaaah Muongopeni Mungu dini ipo wazi jamani
2026-09-08 17:12:28
3
user9908630609518 :
off target
2026-09-08 15:15:45
1
user2120569334210 :
no body care now adays
2026-09-08 16:21:46
0
mager power starts 💪 :
raisi amechaguliwa na wananchi mhh wananchi gan walo mchagua
2026-09-09 04:00:03
1
️ :
lazima wana vyuoni waingilie hili, huyu ni Amiri Jeshi na kiongozi wa taifa, mm shemegi yangu alikuwa akienda kazini akiwa eda, kulingana yeye ni meneja wa Benki, sembuse Amirah jeshi?