@pika.na.mimi: 🥣 BANZI T TAMU 😋✨ Leo nimezipika kwa maziwa na Blue Band 🥛🧈, bila kutumia maji wala mafuta. Zimetoka laini, tamu na kabisa 😋❤️ Mahitaji: 🥣 Ngano vikombe 3 🥛 Maziwa kikombe 1 🥚 Mayai 2 🍚 Sukari vijiko 3 🧂 Chumvi kiasi 🥄 Baking powder kijiko 1 🥄 Hamira kijiko 1 🧈 Blue Band kiasi Rahisi, laini na tamu kabisa 😋❤️ #PikaNaMimi #BanziT #Mapishi #MapishiYaKiswahili #MapishiRahisi