@dw_kiswahili: Makamu wa Kwanza Mstaafu wa Rais wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar, Othman Masoud Othman, amezungumzia mifumo ya uwajibikaji dhaifu Tanzania. Mwanasiasa huyo alikuwa akizungumza katika kongamano la kitaifa linalotafakari hali ya kisiasa nchini humo la Dar es Salaam ikiwa ni baada ya matukio yaliyojitokeza katika uchaguzi uliopita. #DWTunavuma #vumakwakishindo #accountability #tanzaniantiktok🇹🇿