@isackpate: Watu wengi wanahangaika kuongeza miaka ya kuishi, lakini wanasahau kuongeza maana ya maisha yao. Siku moja hutakumbukwa kwa muda uliokaa duniani, bali kwa alama uliyoacha kwenye maisha ya wengine. 💬 Swali: Wewe unaona lengo la maisha ni nini kwa neno moja? Andika kwenye comments. 👇 #IsackPate #RealLife #LengoLaMaisha #Motivation #LifeLessons