MASWALI YATKUWA HIVI
1. kamtongoza kupitia njia gani?, barua, simu, au hadharani?
2. kama ni kupitia simu, namba walipeana wapi?
3. walikuwa na agenda gani kabla ya kutongozana?
kiukweli overthinker tunawaza mengi sana 🤦♀️🤦♀️
2026-09-09 05:51:30
15
J🌹🌹 :
kama sio kosa ngoj namm nimchek mkuu wamkoa wetu 😂
2026-09-09 04:07:21
16
@ja Davis :
respect 😎😎😎😎
2026-09-09 10:43:26
0
DR. VINOD NYAIYO :
Mkuu wa mkoa nilikuona upo sahihi Ila kwa hili umefeli braza
2026-09-08 22:01:01
15
Born to suffer :
Mambo mengine kwa maoni yangu ni kujidhalilisha tu wala hayapaswi kuwekwa kwa hadhira. kama nimekosea, mnisamehe.
2026-09-08 21:33:54
20
Rukia Kengeja :
ni sofia gan jaman
2026-09-09 03:03:28
7
emilliana :
waoooo
2026-09-09 11:39:33
0
Sophy :
Sasa nikipenda ni dhambi jamani 😂😂😂
2026-09-09 05:52:10
6
Elitumaini maro :
Naomba no ya huyu mwanasheria
2026-09-08 21:51:27
18
kinglato26 :
Nchi ndo ilipofikia hapa
2026-09-09 03:05:33
6
Boss :
tuna viongozi waovyo sana hii inchi yan uchafu kabisa
2026-09-09 04:31:05
13
userbeauty ummy :
mh mambo ya ajabu
2026-09-09 04:26:26
7
SHAKSIA :
Kwani kutongozwa ni shida jamani?
2026-09-08 20:50:42
7
Charlotte :
kweli kabisa huu ni uonevu kabisa kama kutongoza ni kosa wengi wangekuwa wamefungwa
2026-09-08 21:27:35
5
janethjustin525 :
Hii kali ya mwaka 😂😂😂😂 Tanzania sihami ng'o
2026-09-09 07:40:58
2
Aaaaaaa9 :
Kwahyo na sisi tukitongozwa tukashtaki?🤣🤣
2026-09-09 07:44:20
2
ashanti :
jamani msaidie mbona mimi kuna mtu namuitaji yupo selikarin nafanyaje sasa
2026-09-09 08:13:04
1
Mirha collection ✨ :
Nakubali Mzee 👊
2026-09-09 05:54:03
1
To see more videos from user @issackadamu3, please go to the Tikwm
homepage.