huwezi kukopa bank moja halafu ukakope bank ingine maana bank kabla hawajakupa mkopo wanaangalia kwenye system kama unamkopo hai bank ingine ikiwa inasomeka unao mkopo bhasi bank uliyoiombea mkopo hawakupi mkopo ndio bank's rule.
2026-09-08 20:47:17
24
Abel Phineas :
ww tupe namba ya mganga bana
2026-09-09 03:45:18
21
HOMIES BRAND# :
I gatchu
2026-09-09 16:49:23
0
Unjuu Transportation services :
Msisahau yuko mtu hanaitwa Saidi Lugumi anasema hakuwai kukopa bank hakiri za kuambiwa hongeza nazakwako msemo wa Jakaya Kikwete Rais mstaafu!!!!
2026-09-08 19:57:32
43
chanso_99 :
kwani hujamaa boss
2026-09-08 20:43:35
7
Nassor Muhsin :
Uongo mtupu bank hawawezi kukupa mkopo bila mali isiyohamishika. Mashaka matupu.
2026-09-09 07:50:58
4
babavanessa2 :
bro umesema ukweli ambao ausemwi
2026-09-09 05:39:10
3
Sceb23 :
Kudaiwa sio issue. Issue ni kulipa kwa wakati
2026-09-09 06:03:26
2
ShamteEventsTz :
akillll kubwaaaa
2026-09-08 19:41:22
8
🛀😘😘🛀 :
bradha nimekukubal sana mwanetu
2026-09-08 19:44:24
11
Gunda :
mbona mm hawanipigii sim
2026-09-09 15:07:48
0
Romanus :
UTT ndo uti au ndo sijaelewa
2026-09-08 22:12:46
2
Issa Mpanye :
huja jamaa anaakili nyingi na nimkweri mno mno
2026-09-08 20:07:53
13
Edward :
Dominick wajina wa mzee wangu kabisa
2026-09-09 16:45:13
0
Lizzy :
bro hongera
2026-09-08 20:09:13
5
matokeo :
kwan huyu jamaa anafa ya biashara gani,mm ndio namuona leo nisaidieni
2026-09-08 21:10:00
7
mapozy starx :
kilaa mtu anadsiwaaa
2026-09-08 20:47:22
5
maisha halisi🔓🗝️ :
usijimalize kijana,Kuna jamaa alikuwa anaitwa billionaire shilla alikuwa anaongea hivi hivi,sijui kafiaga wap
2026-09-09 17:18:46
0
Fratery :
tangu aseme et anamilik gar ya 170m na analipwa laki 2 nashndwa kumwelewa
2026-09-09 08:14:05
0
MANGALIA WATERFALLS :
2B TSH in 36 months means 55M bank repayments per month. Niga u r RICH
2026-09-09 07:41:56
4
BINGWA 💜 :
😅😅😂😂😂😅😂😅😂😅 unaikataaje sasa😂😅😂😅😂
2026-09-08 20:46:11
4
ShamteEventsTz :
oy sio powaaa
2026-09-08 19:41:30
4
ipyana sankey :
safi sana
2026-09-08 21:10:59
1
mariah_outlook Mwanza :
Ata Me nadaiwa 😂😂😂😂
2026-09-09 22:47:22
0
To see more videos from user @amankafalume, please go to the Tikwm
homepage.