@mcshondelive: Urusi na nguvu yake

mcshondelive
mcshondelive
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 08 September 2026 21:17:48 GMT
46145
3334
51
67

Music

Download

Comments

shabani_store
SHABANI STORE :
Nimesoma comment zote
2026-09-09 06:11:17
0
mr_moetz
Moetz :
Marekani wanaibeba sana lakini kwa uwalisia Urusi ndio namba 1 Dunia
2026-09-09 06:30:35
12
mwarabuzone
MRMAN🇰🇵🏴󠁧󠁢󠁷󠁬󠁳󠁿 :
Kwa marekani ni uongo bana
2026-09-08 22:26:32
7
aliany013
ALIANY :
huyu jamaa mbna kama anafanana na Lissu
2026-09-09 05:05:49
3
user9205720515378
Dr.mcoomber :
RUSSIA eti inashika Nafasi Ya Pili Kwa MaJeshi ,,,eti iko Nyumba ya MAREKANI pia iko Mbele ya CHINA,,,,Mi Sijakuelewa 😂🤣
2026-09-09 08:27:12
1
baba.anna2
baba anna :
unaipendelea San urusi elezea na American
2026-09-09 05:22:51
3
1stliboy
lastborn :
swali ni je, mfumo utajuaje kisasi kinalipwa wapi??
2026-09-09 06:18:41
1
jazufastfood
jazufastfood :
Me Nilijua Ray Kigosi
2026-09-09 02:30:45
5
angelo.f.r.n.k
angelo.f.r.n.k :
mamae 😂
2026-09-08 21:42:36
2
71mkalienu19
baba Brian :
imebaki story
2026-09-08 22:41:21
2
ramso.kihangaji6
Ramso Kihangaji :
umesema wamekufa wote je aliye bonyeza Tena ni nani kk
2026-09-09 05:54:37
1
ralph_x7
ralphael_i♍ 🇹🇿 :
Absolutely. Russia 🇷🇺 can not be ignored
2026-09-09 09:15:25
0
petermwandu718
Peter Mwandu :
eleza na Tanzania ni ya ngapi
2026-09-09 15:36:41
0
zigsakara
ZIG SAKARA :
apo kwenye nyuma ya marekani apo nakataa
2026-09-09 14:20:52
0
gabriel.kambale6
Gabriel Kambale :
1 Russia 2 Iran 3 China wengine wako ngufu kwa filamu tuu
2026-09-09 12:38:37
0
lazarojoseph47
Lazaro Joseph :
unakosea sana kusema urusi inashika nafasi ya pili sio kweli,ukweli umejidhihirisha kwenye vita ya Irani na marekani.marekani hawana uwezo wa nguvu za kijeshi kuliko urusi.amepigana miezi sita tu wakaqmua kusimamisha vita kwakuishiwa siraha,lakini urusi anapigana vita ukraine leo ni mwaka wa nne none stop.lakini hapigani na ukraine peke yake hapo ukraine pamoja na nchi za nato zote zipo pale ukraine,sasa unasemaje urusi ni ta pili kwa military power!?
2026-09-09 10:00:19
0
danielmsangi495
danielmsangi495 :
wamemshindwa Ukraine
2026-09-09 11:06:22
0
erickmhema
Erick Mhema :
irani baba
2026-09-09 03:52:07
0
userabdiano
userAbdiano :
Marekani ya kwanza mbona imepigwa na Iran?😂😂😂
2026-09-09 15:41:02
1
user3930592294218
Osmont Marlow :
kwani mifumo ya ulinzi wa anga huwa inaweza kuzuia makombora ya nyuklia?
2026-09-09 05:33:03
0
hero.saint.kajaja
Hero Saint Kajaja :
sasa kama merekani ni wa kwanza, kwanini anashindwa kumpoteza mu-Iran ad sasa
2026-09-09 04:44:49
0
selemanashery
Fundi msomi🔨🖋 :
mwak wa 4 wanaruka ruka na ukrain
2026-09-09 02:44:30
1
bsadick
@VIPOST :
ni kweli marecan ilinusurika kupigwa na nyukria ya urusi
2026-09-08 22:57:54
2
chengula18
chengula :
acha uongo bana
2026-09-09 01:33:50
2
deanpaul445
deanpaul445 :
Sasa yatajuaje wapi yanaelekea yakishakua activated 😳😳
2026-09-08 22:08:15
2
To see more videos from user @mcshondelive, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About