Coaches don’t train 😂😂😂😂 It’s osmosis, fitness simply enters the system while they coach!
2026-09-09 06:55:48
1
cookie 🥞🍪🌹🫦 :
yn sahv naenjoy kufanya mazoez
2026-09-09 12:36:18
3
…vëñøm queen 🫅 🖤❤️🩹 :
Ule muda wakati na ww pia unafny 😅😅😅
2026-09-09 07:56:19
3
kimamy✨️ :
si mnafanya wote mda wanawafundisha 😂
2026-09-09 08:13:49
2
Dayness ❤️ 🇹🇿 🇷🇸 :
Trainer wangu hajui Kiswahili ningemtag 🤣🤣🤣🤣
2026-09-09 12:35:00
1
leo_cusp :
@leo_cusp:sisi tushatengeneza kwaio hatuitaji Muda mwingi wa mazoezi ni dakika 45 zinatosha kabisa maana tuna maintaining tu ila kama unataka growth zaidi bas unatenga Muda wa kutosha
2026-09-09 12:42:17
1
Pavel🇹🇿 :
Gym trainer wengi wanakuwa wamefanya mazoezi Mdaa mrefu mwili unakuwa umeisha kubali so akifanya mazoezi even 1 hour mwili wake unakuwa Upo kwenye form,and second trainers wengi wanafanya mazoezi gym tofauti na wanazofundisha so nikazi sana kumuona trainer wako akifanya mazoezi
2026-09-09 07:03:10
0
Brown Osiah :
mazoezi dk45 inatosha
2026-09-09 18:07:13
0
79benny :
😁😁kazi yetu ngum
2026-09-09 18:57:05
0
Coach_VAIN✌🏿 :
Naamn trainers wana muda mwingi wa kufanya mazoez kitu wanachokuzidi ww n kwamba atutumii muda mrefu sana mana Tunafanya tunachokijua atubahtish mazoez so session ya 45m kwa trainer n Sawa na masaa mawili yako yeye Ana plan yake na schedule ameipanga vizur na Akuna maelekezo mengi
2026-09-09 19:04:41
0
Streetsoul :
Mda wanao mwing sana
2026-09-09 14:07:22
0
Ally Hemed :
Sisi ma-trainer tunafanya mazoezi kulingana na ratiba na majukumu ya gym. Mara nyingi tunapata muda wa kufanya mazoezi wakati ambao gym ina nafasi, lakini pia tunazingatia kuwahudumia na kuwaongoza wanafunzi wetu.
2026-09-09 18:33:09
0
MR. CONTIGENT :
tunafanyaga nao Sema huwaonagi
2026-09-09 14:11:31
0
Eng. Eze :
45 mins zinatosha kufanya ma zoez @am a trainer karibu
2026-09-09 13:40:49
0
Music Doc :
Muda msio enda Gym ule mchana ndo Muda wao wa Kujaa sasa
2026-09-09 13:37:27
0
leo_cusp :
sisi tushatengeneza kwaio hatuitaji Muda mwingi wa mazoezi ni dakika 45 zinatosha kabisa maana tunamaint tu ila kama unataka growth zaidi bas unatenga Muda wa kutosha
2026-09-09 12:41:06
1
@ADUI :
😂😂😂ni Mungu tu na genetics
2026-09-09 08:25:44
0
Ayman haroun :
Alfu asaivi ntakua siku train kumbe unanichunguzaga nikiwa nakufua au sio
2026-09-09 20:53:06
0
casana 💦🧃🧶🪡🧵 :
Najiulizaga nashindwa kuelewa😌😌
2026-09-09 09:06:36
0
Josh Fitness :
gym ya kwake masaa yote yupo gym na ndo kazi yake kwanini asipate mda wa kufanya mazoezi
2026-09-09 14:47:33
0
phiner_19 :
Mfano gym inafungwa sa 4 , matrainer wengi ndo wanatrain baada ya hapo wajanja hao hawatak muone wanavyolia na wao😂😂💔
2026-09-09 13:22:24
0
Mr smile😁 :
nipo hapa Sisi ukipiga wewe chuma na mimi naongezeka
2026-09-09 15:36:38
0
To see more videos from user @nuni_the_empress_, please go to the Tikwm
homepage.