@steintv_tz: Je, nini kiliiangusha Stein Warriors dhidi ya Dar City? Mdau wa timu hiyo, Treva, anachambua kila kilichotokea uwanjani kuanzia mbinu, makosa ya wachezaji hadi nafasi zilizopotezwa huku akishangazwa na matokeo ya kota ya kwanza. Sikiliza uchambuzi wake na utoe maoni yako, je, Stein Warriors watarejea kwa nguvu kwenye michezo ijayo ya Playoffs? #steintv_tz #steinWarriors