Wachache saana watamuelewa huyu mzee baba ila wengine watabak kubeza tu
2026-09-09 13:21:14
71
@Chinua_Achebe_AndreaTz🇹🇿 :
swali la msingi hapo ni kwamba hao Simba awashiriki champions league?
2026-09-09 13:08:31
20
lusajo :
very truuuuuu
2026-09-09 13:37:25
0
𝕄𝕓𝕦𝕪𝕦 𝕁𝕦𝕝𝕪 𝟚𝟡 :
Point of correction, hapo sio Timu ya Taifa ila ni ligi ya Tanzania
2026-09-09 12:38:49
15
Yasir arafat :
Sasa Hersi ni rais wa TTF ama ni rais wa yangu nashindwa kuwaelewa
2026-09-09 17:08:31
4
EDDY _116B_ skillz :
Simba inaporomoka yenyewe jmn yanga haihusiki na maendeleo ya club ya simba: tatizo ilo: mnasahau kwamba YANGA ndo timu yakwanza kuleta Fainali ya CAF CONFEDERATION CUP nina imani kizazi ata hiki kinacho ilaumu yanga ndo ilikuw mala ya kwanza kushudia hilo:
2026-09-09 18:44:30
3
John Kapallo45 :
kweli kabisa Simba ndo wa kwanza kuvaa viatu vya kuchezea
2026-09-09 20:09:03
1
Dev ☠️ :
Ila mashabiki wa Simba bwana nashindwa kuelewa 😂😂 tuliwashusha siku ambayo walikula zile goli tano
2026-09-10 08:18:18
1
Ngusa juda :
shida Ni kununua Marefa jamani
2026-09-09 19:25:17
3
Ndetiko joely :
sasa injinia anausikaje hapo kwenye timu ya taifa?
2026-09-09 14:11:52
3
makelege :
nasimba ndio Tim ya kwanza kufungwa goli 9 na yanga
2026-09-09 19:04:27
2
kellyath :
mm hta sielewi kbsaa vitu vinaendaje
2026-09-09 18:24:06
1
chibu de :
Mzee anatoa point sana🔥🔥🔥
2026-09-09 16:59:48
1
B MATUNDA :
wana Simba tujuane
2026-09-09 18:23:04
1
kinjunga_dr :
ila bongo kila mtu mchambuzi
2026-09-09 19:05:00
1
Poverty Peace :
hahaha upo sawa
2026-09-09 12:12:49
1
kidali officials :
kweli kasa
2026-09-09 12:06:11
1
Emmanuel :
asilimia 70 point kabisaaaa
2026-09-09 15:02:18
4
Shimbi fredrick :
Kweli kabisa Mzee
2026-09-09 13:11:08
2
del_love26 :
baba una neno🙌🙌🙌🙌🙌🙌jamaaaa Wana fitinaaa sna
2026-09-09 13:54:49
1
mr cash :
Mzee ligi nasio timu ya taifa lakini ililigi ipande au ibaki pale pale inategemeana performance ya timu zake kimataifa kwaiyo kushuka kwaligi zilaumiwe timu zote hivi Hamna sehemu ya voice nimalizie mana ninamengi😏
2026-09-09 14:43:18
2
usermoroma4n9 :
mzee haelewi ktu kipindi simba ni mtawala timu haijawahi ingia hata makundi ya afkon ukiacha afkon fainali za shirikisho zote ni Kwa utawalabwa nan ?
2026-09-09 13:26:28
1
To see more videos from user @_officialseba255, please go to the Tikwm
homepage.