@kanikibrown: Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Dkt. Abubakar Zubeir bin Ally, amesema Sheria ya Kiislamu haimzuii mwanamke aliyefiwa na mumewe kuendelea na shughuli au majukumu muhimu yanayomhitaji yeye mwenyewe wakati akiwa katika kipindi cha eda. Amesema hilo linawezekana iwapo hakuna mtu mwingine anayeweza kutekeleza majukumu hayo kwa niaba yake, huku mwanamke huyo akizingatia masharti na taratibu zilizowekwa na Sheria ya Kiislamu kuhusu kipindi cha eda. Akitoa mfano wa Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye amefiwa na mumewe, Mufti Zubeir amesema Rais anaweza kuendelea kutekeleza majukumu ya kitaifa ambayo yanamhitaji yeye mwenyewe. Mufti Zubeir ameyasema hayo leo, Jumatano, Septemba 9, 2026, katika Makao Makuu ya Baraza la Waislamu Tanzania (BAKWATA). 🔴Ukiwa na HABARI MPIGIE RIPOTA 0622732287 RIPOTA WA HABARI ZA MIKOANI ✍ @kaniki_brown #Ripotawahabarizamikoani #kanikibrown #WeweNiFamilia
Kaniki Brown
Region: TZ
Wednesday 09 September 2026 11:43:04 GMT
Music
Download
Comments
Ajia :
Huku tuendeapo wallah tuamin maandiko tu na sio hawa binadam tutachomwa moto ee mwenyez mungu atuepushe🙌🙌🙌🙌ndio nasikia leo kumbe eda ipo matabaka wengine wanakaa na wengine hawakai
2026-09-09 13:01:33
6
Halima kisuda :
hakuna sehemu imeandikwa mwenye majukumu asikae eda, eda ni lazima akae mwanamke hata sisi tumesoma dini ila hii haijakaa sawa Kama kuna sehemu ya mafunzo yake yanasema hivyo Sawa, ila uisilamu haundi hivyo eda ni lazima jamn
2026-09-09 13:20:36
11
Abuu salum Mhafigwa. :
Mimi nasoma communits2
2026-09-09 14:04:01
1
Sudi Tafer :
huwezi kutudanganya namba hiyo
2026-09-09 12:41:20
7
SmartLife Electronics Tanzania :
Elezea EDA ni nn...na inakuwaje
2026-09-09 13:39:14
1
Gabo :
mmmmh???? Allah tuongoze katk njia iliyo nyooka na wasamehe mashekh zetu kwan nao ni binadam wanakosea
2026-09-09 13:41:30
1
The king :
innalillah wainna illah rajiun
2026-09-09 13:37:21
1
mkatu abdllah :
mbon una ongopea wat
2026-09-09 13:33:35
1
The Great prince Mwaya :
eda ni nini na sababu za kukaa eda ni nini? (akifiwa sio alikifelewa)
2026-09-09 13:54:53
0
Shehe Kisenge :
nilijuwa tu sheria lazma ipindishwe nakufuata vyeo
2026-09-09 14:24:13
1
Lipa :
ukimsikiliza mufti vzr maneno yake mwishon hayajanyooka
2026-09-09 14:51:03
0
David mangilile 🇰🇪 :
mtumeeee pesa zetu
2026-09-09 13:16:21
2
BABU :
eeeeh mungu sikia hii alafu fanyia kazi kwa uwezo wako
2026-09-09 13:05:07
1
user5776911790675 :
Lazima muta tafutiya njia.
2026-09-09 16:26:44
0
Ibrahem Emanuel :
mh
2026-09-09 17:04:20
0
#14n2RE :
...Allah Akbar....subhannah Allah....Allah niepeshe Moto.
2026-09-09 13:11:23
1
danielogunda :
Kwenye ukatoliki hatupindishi kitu
2026-09-09 15:55:09
0
Imam mahdy (atfs) :
2026-09-09 12:08:18
0
mkavu mkavu :
subuhana llah
2026-09-09 15:00:48
0
Baba Nillam OG :
kwani rais kuwa na wasaidizi maana yk nn izo shughul za kitaifa ataenda makamo wake au waziri mkuu tatizo asaivi dini zetu zimekua za siasa
2026-09-09 15:24:15
0
Baraka Elias :
yaani kanuni ya kiislam inavunzika wakati wowote ule mambo gani aha
2026-09-09 15:29:20
0
musajamini :
kwani huyu anaeongea ninani samahani lakin
2026-09-09 16:15:39
0
حسن علي :
fact
2026-09-09 15:31:01
0
Rashidi Fusi :
nimesikiliza nikaja kwenye comment nimekuta kimya najua sio kama hawapo ila hapa kuna kaa la moto nitarudi kesho kuja kusoma najua mtakuja tu
2026-09-09 12:36:46
0
To see more videos from user @kanikibrown, please go to the Tikwm
homepage.