@chawamata_tv: VIDEO: Dereva wa lori anayefahamika kwa jina la Feisal Jabir, mwenye umri unaokadiriwa kuwa kati ya miaka 35 na 40, amefariki dunia baada ya kudaiwa kupigwa risasi na mlinzi wa kituo cha mafuta kilichopo Kihonda Viwandani, Manispaa ya Morogoro. Kwa mujibu wa mashuhuda, marehemu alikuwa amepaki lori katika kituo hicho na kwenda msikitini kuswali. Baada ya kurejea, kulitokea malumbano yanayodaiwa kuhusiana na namna lori lilivyokuwa limepaki. Inadaiwa kuwa wakati dereva akiwa ndani ya lori, mlinzi alifyatua risasi na kumpiga, huku lori hilo baadaye likipoteza mwelekeo na kugonga magari mengine. Msaidizi wa dereva huyo amesimulia kuwa alisikia ghafla kioo cha gari kikivunjika, kabla ya kubaini kuwa dereva alikuwa amepigwa risasi. Kaimu Afisa Habari wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro, Scolastica Ndunga, amethibitisha kuwa hospitali imepokea mwili wa marehemu na kueleza kuwa ulikuwa na jeraha katika eneo la kichwa. #ChawamataTV #10KFollowers #Asanteni #DarEsSalaam #Tanzania #Bongo #Habari #HabariLeo #BreakingNewsTZ #TanzaniaNews #BongoUpdates #TzUpdates #TzNews #BongoMedia #MediaTanzania #OnlineTV #TrendingTZ #tanzaniatrending #Asanteni #tanzaniatrending #tanzaniatrending_habari #tanzaniatrendingsong #mediatanzania #tanzaniatrendingvideos #tanzaniatrendingstory #TanzaniaTre #madeintanzania🇹🇿 #madeintanzan #madeintanzania #SupportLocal #madeintanzaniat #roadto100followersontwitch #madeintanzaniawith #chawamata_tv #viraltz
CHAWAMATA TV
Region: TZ
Wednesday 09 September 2026 13:24:50 GMT
Music
Download
Comments
smart boy 06 :
mashaaallah kafa katoka msikitini bora ningekua nimekufa mm 😭😭😭
2026-09-09 16:26:38
90
its kenzo officialy Tz :
huyu mlinzi watuachiee na ss madereva tuish naee🙏
2026-09-09 14:55:13
49
Calvin boy :
kampuni ya ulinzi ni ya kufungiwa
2026-09-09 14:29:54
45
muhboe💕 :
sio fear
2026-09-09 20:11:30
0
immani :
kwanni sisi madereva tunaonewa sanaa katika sekita zote
2026-09-09 14:14:53
36
Ramadhani Amir :
feisali amekufa shahidi na amekufa akitoka kuongea na mungu wake kaitwa na kaitika mungu ampokee
2026-09-09 16:38:09
82
new, KIVURUGE >>> BOY :
duh R.I.P
2026-09-09 20:02:06
0
그반❤️🩹🦅 :
Eeeh Mungu nilindie yule kijana 🥹🙏..na madereva wenzie wote.
2026-09-09 16:26:59
32
Mr Julius :
ndio maana kazi ya security sipendagi yanii mtumwa anamuua mtaftaji
2026-09-09 16:37:37
15
thamairat :
pepon moja kwa moja kwa uwezo wa mungu inshaallah ♥️
2026-09-09 16:47:29
40
precious :
makosa niyadereva
2026-09-09 17:27:08
3
Ramadhani Manyagala :
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi
2026-09-09 17:55:18
7
jumaaMartin14 :
innalillah wa inna ilayh raju-uun Allah aiweke roho ya marehem mahala pema peponi insha Allah🤲🤲
2026-09-09 15:06:20
23
aww107ajs :
Mlinzi anapata wapi mamlaka ya kumiliki bunduki na amechukuliwa hatua gan
2026-09-09 16:32:53
3
Geita finest🛣️ :
hapa sijaelewa dereva amefariki au
2026-09-09 14:35:16
1
hajrashekinyashi :
mashalah kafa na udhu wake
2026-09-09 20:32:40
1
225 Janeth :
Bora alikua ametoka kuswali ila inauma mke wake anajua mwanaume yupo kazn analetewa maiti dah😭
2026-09-09 16:25:10
9
Ezzy 7 :
mh jamani nchi yangu sasa mambo nimengi sanaaa! mungu tusaidie
2026-09-09 14:55:41
8
@ummy ima :
kazi kiwadhulumu watoto maskin jamani mtu kenda kutafuta riski hee jamani hii kuuwa imekua kama kula kilasiku hee jamani washamdhulumu roho yake
2026-09-09 20:47:08
1
munisi :
kwani police walikuwepo jaman mpaka wao ndio wagoe taarifa hii serikali ya Tanzania na sheria zake zikiongozwa na katiba 😎😎
2026-09-09 16:49:22
2
khalfan1203 :
innalillah wa inna ilayh raju-uun🤲🤲🤲
2026-09-09 16:46:38
2
adamMathias :
kwani mlinzi yeye anasemaje
2026-09-09 19:33:26
1
NANA :
saahzi kashapokewa na malaika wema pamoja na mtume na shangwe nyingi inauma kwa familia lkn kafa shahidi Allah amrehem🥺🥺
2026-09-09 16:50:39
4
user6594018617143 :
haya maisha watu wanapenda kujiamulia mambo
2026-09-09 17:14:18
2
ISUZU FAN TANZANIA 🇹🇿 :
mlinzi Yuko wapi baada ya tukio
2026-09-09 16:29:16
1
To see more videos from user @chawamata_tv, please go to the Tikwm
homepage.