maalimu seif alikuona tuna mshukuru sana maalimu hakka ww ndie arithmetic thabit wa maalim
2026-09-10 02:46:04
9
gadafi :
Sisi zanzibar hatona viongozi tunavibaraka tu wanao simamia maslahi yao tumechoka
2026-09-11 14:46:08
2
Ismail seafood :
daah hakika huyu ni kiongozi bora
2026-09-10 05:34:49
4
jamal boy :
wewe na madini matupu Allah amekupa kipaji kikubwa ila serikali ya doctor imeshindwa kutumia hii lulu vizuri
2026-09-10 03:57:40
3
Nashy king fashion :
hakuna anaekuweza ispokua Allah. 🥰
2026-09-09 22:47:32
1
car :
dah kwanini wazanzibar hatukumpa huyu urais
2026-09-10 17:34:05
0
Zansafari.tours :
ya lini hii mkuu
2026-09-11 07:15:24
0
Mwanaume :
Sisi wenyewe ndo tunajirudisha nyuma kwa ubinafsi. Watanganyika wanadai katiba mpya sisi tunakuja juu eti walikua wapi muda wote au sababu MH.Raisi ni MZanzibar?.Mapumziko ya muda mfupi yana tusaulisha kitakachofuata.
2026-09-10 07:19:06
1
Till one :
good job muheshimiwa
2026-09-10 02:14:02
0
Yahya :
Boss unajua mpaka unakera hasa maana unasomesha
2026-09-11 04:57:50
2
Ali salim :
kiukweli tunakupenda sanaa
2026-09-10 19:53:06
2
Defao :
pamoja Kiongozi wetu
2026-09-09 18:25:50
2
Lildebe :
Hongera sna kiongozi
2026-09-12 08:48:01
0
Khalypha :
akili nyingi
2026-09-09 21:19:04
2
Vampire :
hili jembe Mungu atuekeee
2026-09-10 10:41:39
1
Zansafari.tours :
dah jamaa anaongea kwa undani saana yaani unamuhisi mapambano yake yapo wapi Allah akutangulie
2026-09-11 07:17:48
1
Haji mkonde :
uma wa Zanzibari huyu mtu nasema tena huyu ni hazina ambayo angeli ongoza nchi watu hawatotaka aondoke madarakani
2026-09-12 15:25:32
0
Till one :
Bora ulivowaambia ukweli maana watu walala wengi wa ndo wale wenye mapepo ya aadomia 😁
2026-09-10 01:58:24
0
Chalu_Dallas_🏝️ :
@Mr Mtu Kwetu na tumkatae tu kw 7bu y upemb wke....😁
au......
2026-09-10 13:55:32
0
wahidi nassor Ali :
😭😭😭😭😭😭😭😭
2026-09-10 10:14:12
0
Rajab Dizo :
😂😂😂
2026-09-10 14:49:26
0
fahud :
🙏
2026-09-12 13:55:55
0
To see more videos from user @alnufais07, please go to the Tikwm
homepage.