ngombe akizidi sana kutoa maziwa mwisho ni lit40-45 hizo 60 ni uongo labda tuongeze na maji😁😁
2026-09-11 10:40:13
2
myegahsacky :
hakuna ng'ombe wa lita 60,50 sio kweli sana sana ni lita 30 zaidi ya hapo hakuna!!!
2026-09-11 10:37:24
1
Laizer :
ng'ombe hajifungui anazaa😆
2026-09-12 05:55:37
0
G.willy :
🤣🤣, Lita 60 sindio
2026-09-11 21:32:57
3
mussajaphet682 :
huu mpango wakopa ngombe lipa maziw nimatawi yote Tanzania au baadh yamikoa
2026-09-09 17:11:46
1
Eng. Eze :
Una mtu?
2026-09-11 12:12:15
1
mr :
maana watakuletea chakula pia
2026-09-11 11:28:36
1
user7908061043281 :
hii ni Tanzania nzma au ni badhi ya mikoa
2026-09-11 13:25:26
1
Panduranga Jasifa :
Ila hili lidoctor ni lizuri bhana 🙌🙌🙌
2026-09-11 00:15:24
1
NjombeProducts Organization :
Asante kwa kutoa hii elimu tukihubiri ufugaji na kilimo tunaweza okoa vijana wengi sana ambao kwa namna moja au nyingine wamekuwa hawaamini katika shughuli hizi. Vijana tukipeana elimu wenyewe kwa wenyewe ina nguvu mno
2026-09-11 04:49:12
1
bin haidar :
unalipa vp ayo maziwa na kwa muda gani deni linamaliza ?
2026-09-10 22:47:04
1
mussajaphet682 :
mm niko singida dada nawez kupata konekish au vp
2026-09-10 08:34:25
1
Mick ezy :
60????
2026-09-12 19:57:06
0
SHAKASOA :
dada umenigusa
2026-09-12 13:47:49
0
Rikanga shoes store :
moshi mpo
2026-09-12 13:00:10
0
user9596555277456 :
nipatie cm yako
2026-09-12 02:00:50
0
Sally :
Ni ng'ombe ki halisi au ni hela? Nashindwa kuelewa 😏
2026-09-11 12:42:37
1
Marijan Mohammed :
kwani unavuta chuchu au unaminya🤣🤣🤣
2026-09-12 21:51:09
0
To see more videos from user @sussan_mkamba, please go to the Tikwm
homepage.