kweli bba tukifny ssi tnaambiwa wachawi halafu wanjidai hawaamni uchawi ssa nawao wanafnya nni apo kma so uchawi
2026-09-09 18:54:41
1
Nasiratiy :
watu wanatambikia kwanza kabla yakuanza kazi zawatu
2026-09-09 23:43:38
0
Miseya_24 :
Nini tena
2026-09-09 23:06:11
0
Libe Masai :
aise
2026-09-09 18:32:56
2
MBILIN’ SON 🚛💨🚌🌍🇹🇿 :
chak to chaka kila mtu na jini lake bhana
2026-09-09 19:36:03
2
kalambo_tronix :
Miradi yote ya wachina pindi inapoanza huwa wafanya hivi lengo ni kuomba ruhusa kwa mizimu au viumbe vilivyopo eneo hilo kuruhusu shughuli za ujenzi ziendelee hii husaidia kuepusha ajali,mradi kukwama na mambo mengine yote yanayoweza kukwamisha shughuli zao na hapo wanaipa mizimu zawadi ya damu,pombe na vituvingine vya kula kama izo ndizi zinazoonekana apo
2026-09-09 19:15:30
3
KAMBARE WA NCHIKAVU🚛 :
mchina kaonaleo awange mchana mana wabongo wananvuluga
2026-09-09 19:24:19
2
To see more videos from user @42922008cwm, please go to the Tikwm
homepage.