@dr_daniel_md: 🚨 UMEPIMA HIV UKAPATA POSITIVE? USIPANIC! Kipimo kimoja kusema “POSITIVE” hakimaanishi umefika mwisho wa safari ya utambuzi. Kuna utaratibu maalum wa vipimo unaopaswa kufuatwa kabla ya mtu kuthibitishwa kuwa ana HIV. Kwa hiyo, usilie, usimlaumu mwenza wako, wala usifanye maamuzi makubwa kwa sababu ya kipimo kimoja tu. 👉 Kwenye video hii nimeeleza nini kinapaswa kufanyika baada ya kupata majibu ya positive. #HIV #HIVTesting #HIVAwareness #afya

Doctor Daniel- Hospitali Ndogo
Doctor Daniel- Hospitali Ndogo
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 09 September 2026 18:05:44 GMT
77012
2559
90
184

Music

Download

Comments

hoytmarine.co.ke
ibra Vorgz :
kipimo cha kwanza bioline positive then Arv for 4yrs first response not dectable. unigold negative. then back to bioline positive. ni vpy hapa.
2026-09-10 04:07:38
0
princesslora70
princesslora70 :
Kuumwa malaria tu kidg hizi video zishaanza kuniandama🙌
2026-09-10 11:24:11
4
l.r.eclipse
L.R eclipse :
ogopa matapeli
2026-09-09 18:42:58
10
omaryjuma903
Omary Juma :
Dawa ni KUACHA KABISA ZINAAA BASS🥺
2026-09-10 02:12:40
13
lovejac8
lovejac8 :
Aisee yamenikuta. nilikua natabia ya kupima mara kwa kwa mara Nikakutwa positive na nilipima dispensary akili ikaruka nikajua nimeshaathika. Nikanunua kipimo nikajipima nikaona negative ila nikaamini majibu ya dispensary. mwaka Jana nikapata mimba nikaenda hospital kubwa nimepima kipindi chote cha ujauzito niko negative nanyonyesha na nimepima Sina maambukizi
2026-09-09 23:42:32
5
user7645984935333
user7645984935333 :
kwaio mnachoktaka nn ??? au mtu akipima lazma aktwe navyo
2026-09-10 09:52:57
1
habiba.hussein54
Double dee💕🤲 :
Mungu nilienda na hili gonjwa naogopa dawa za kila siku walh
2026-09-10 06:36:17
3
agnesecharlz
AgneseCharlz :
me nilienda kupimà nikaambia nna VVU lakn cha ajabu nilipita nao wote hakuna alowah kuwa nao, baada ya muda nikaenda kupima kwa PCR alooooooh majibu c yakatoka negative,, kumbe ila RDT ambayo inaingiliana na magonjwa mengine
2026-09-10 07:28:28
2
nobella.djuma1
🌸 BELLAH DJUMA ✅️ :
naomb namb yako tuongey whastapp
2026-09-10 10:12:23
0
ester_mayaofficial
ester_mayaofficial :
inakuwaj muwambie watu wanaukimwi na hawan jaman
2026-09-09 21:03:44
1
polndasi
swarty jr :
sio new algorithm bhana iyo ilikuwepo Toka 2018 huko mzee ilikuwa ni sd bioline,determiner na unigold na ndo imerusishwa tena mwaka huu 2026 maan hapo miaka ya nyuma algorithm 2023 ilibadilishwa ikawa SD bioline na unigold..ko docta sio mpya ilishawai kutumika@ then ungetuelezea hiyo SD bioline , determiner na unigold in term how to detect HIV kwa mgonjwa na why tuvitumie ?
2026-09-10 00:05:55
1
ishaz558
chi💕mami🇹🇿llioni💵 :
Je kama nimepimwa dam kubwa mara 2 na imekuja ninaukimwi? Yn hospital tofaut je niamini ama
2026-09-10 04:41:01
0
w.fire36
w.fire :
kipimo cha 3 ndicho anachonipimaga bwana wangu kila ninapo kutana nae
2026-09-10 08:36:25
1
bahatjaphet538
Bahat :
Dr utofaut wa huo vipimo vyote n ipi
2026-09-09 20:16:00
0
tumaininjogolo2
HOPE Styles 🥼 :
Mbona umechelewa kusema sasa 😅😅
2026-09-09 20:57:33
0
user2000816144421
young mechanics🚘🛥 :
tuseme mkenda spital mkipima mkaambiwa hamuna mkaoana na mumepimwa kimoja tu cha mwanzo maana yake mnatest hmn uhakika na afya
2026-09-10 06:10:29
1
febroniapaulo612
FEBRONIA PAULO :
mtajua nshapima cn na sirudiii kupeana mawazo tu😔😔
2026-09-09 20:23:46
2
nonstop6405
nonstop :
vichunguze hivyo vipimo vyote ni kitu kimoja
2026-09-09 22:26:20
1
charlzmica
Charles Mica :
Two test 1.Sd bioline 2.Unigold- Confirmatory test(Only if SD bioline is reactive)
2026-09-09 19:30:43
6
babilaspetromuganza
MUGANZA CHATO :
Asante mwalimu mim nitakuita mwalimu nashukulu Kwa somo
2026-09-09 18:47:41
2
baby.nia87
Baby Nia :
Sasa awa wanao fos kupima watu au wapenzi wao majumbani wanaaminika vipi kama wenyewe wako sawa
2026-09-09 19:44:38
1
ashakilinga
asha killinga :
hicho first response hatujakiona
2026-09-09 19:19:25
1
midten.fashion
Midten fashion :
content zako znafanana na doctor noel sas sjui mnaigana[Tears of joy][Tears of joy][Tears of joy]
2026-09-09 19:20:47
1
kylemponji
Captain_MP :
Kwa hiyo Tusipimame twende kavu kavu?
2026-09-10 13:03:00
0
waziah.ezekia
waziah ezekia :
vipi mimba
2026-09-09 20:03:34
0
To see more videos from user @dr_daniel_md, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About