kama ingekuwa hivi basi KFC isingefika leo, labda useme kwa experience yako uliokutana nao kwenye hii bihashara hawana effort kubaki the top
2026-09-10 05:53:41
6
kalunde jr :
acha kukatisha watu tamaa
2026-09-09 21:23:06
2
super kings fashion :
hapo kuna kitu kinaitwa ukuaji wa biadhara uwe direction proportion with uwezo wa huduma. ukifeli hapo ndio tatizo linapoanzia
2026-09-10 03:53:46
6
last born kimatile :
kweli kabisa
2026-09-09 22:19:07
4
Juma_Mazurui :
kwer
2026-09-09 22:17:17
4
angel :
uwezi mwelewa mpaka ufanye hiyo biashara
2026-09-10 06:24:54
4
Anna Wallace :
Yaani nimekuelewa mwanangu hongera sana mm napika chakula na nafanya biashara hii yaani unaakili sanaa nakuelewavizuri sana kwa asiyekuelewa hawezi kukuelewa