Duniani Kuna mifumo ya Siri inafanyakazi Kwa weledi mno. Kuna watu ni mawakala aidha Kwa kujijua kabisa(yani wametumwa kuleta upotofu mahali ambapo wateule hukusanyika) AU Kwa kutojijua kuwa ni mawakala ila tu wanatumika na Ibilisi bila kujijua. Hao wanaliotumwa wanakuwa na vipawa na uwezo na watu wakutegemewa kanisani katika huduma na matengenezo. ndiomana Ukiwa unajiita mkristo na upoupo Kuna vitu hutajua
2026-09-10 11:46:23
1
Prisca Leah :
Mungu wangu nisaidie nisicheke🥺
2026-09-10 11:51:27
0
To see more videos from user @marrycelinegmpuku, please go to the Tikwm
homepage.