SUBHAANALLAH
Hivi sivyo inavyosomwa Qur-ani jamani, Ondoeni
Qur-ani inasomwa kwa kufuatwa hukumu zake za usomaji na wala haiimbwi kama nyimbo
Tumche Allah na Allah atatuongoza
2026-09-10 06:44:37
18
Malebye :
Top center
2026-09-10 11:05:44
0
Moh'd Bin Haji :
hii inatajwa kua ajal mbaya sana ilitokea jana maeneo ya kiembe samaki pale mwenye gati aina ya prado kukatisha hafla bara bara wakat kuna msafara wa viongozi ndipo pikipiki ya polis ya kusafisha bara bara ikagonga gari hio sina uhakika kama yule polis amepona au amefariklakni ilikua ajali mbaya nashaur wanaohusika na barabara hii sehem wapazibe mana kama miez miwili iliopita tulimpoteza kija mbichi hapo hapo yule dogo aliacha ubongo wake ktk gali yakubebea mawe centar ilikua ajali yakutisha sana
2026-09-10 05:28:00
9
amna my :
lini na nn anajuwa atuelezee
2026-09-10 04:53:16
0
hassani :
iyoo lin jaman
2026-09-10 10:30:44
0
hamed hd :
wapii hiii
2026-09-10 12:04:55
0
makwaju :
Jaman Jaman hii nyimbo au Quran tuwe na Heshima ya Quran jaman
2026-09-10 11:57:36
0
MODY SCUTTER :
kwanini bodaboda hawaskii wakiambiwa@😳
2026-09-10 11:40:55
0
ladyhoney :
Kwanza tunakatazwa wanawake kupaza sauti zetu,2 hairuhusiwi kugeuzwa nyimbo.
2026-09-10 12:10:53
0
Bin khamis :
Allah atujaalie husnul khatimah
2026-09-10 11:40:48
0
balqees :
hapo wanatakiwa waweke mataa
2026-09-10 09:44:05
0
𝐒𝐨𝐟𝐭 𝐎𝐫𝐢𝐳𝐨🐐🇹🇿 :
Hio njia kila siku ajali
2026-09-10 11:34:01
0
SHAHIM. Bey :
kuhus hii ajali
2026-09-10 05:38:53
0
MUJTABAH🧠 :
tuna kazi ngumu mungu atulinde😭
2026-09-10 08:45:28
0
Khamis Muhunz :
mm nauliza tu kwa tukio hili je limit ya speed kwa watu wakawaida tu au hata msafara unatakiwa ufuate sheria za barabara kama ambavo sisi raia tumetakiwa. Ni ipi hukumu ya huyu police kwa camera zq barabrani?
2026-09-10 10:13:37
0
Bakari Kilongola :
9/9 haijawah kuwaga sawa iko kihatari sana Toka mv spice 9/9/2011 mungu ampe amlinde kamanda huyu
2026-09-10 07:22:17
0
wizyam :
hapo ndo pale pale alipofariki jamaaa na pcx tuwe makini hiyo njia ina mdudu mbaya sana
2026-09-10 06:06:45
0
PROFESSOR 255 :
Jaman tuwe makin Sana na vitu kama hivi , unaweza ukajikuta unaingia kwenye matatizo bila kutegemea na hii ndo shida ya sisi watanzania na inatuponza sana unakuta mtu yupo serious kabisa anasoma comment yangu badala aandike ya kwake.😂
2026-09-10 06:26:37
4
Nyendo ali ussi :
poa tu
2026-09-10 12:20:15
0
sadamohd92 :
hakuna aloumia lkn jamon duh?
Allah walinde tuwapendao na mitihani amiiin🥺
2026-09-10 12:14:05
0
saadillah :
iyo njia kwa ajali hapo subhanallah
2026-09-10 05:09:35
0
lubayna :
wai apa
2026-09-10 02:17:28
0
young mechanics🚘🛥 :
Naomba kuuliza anaejua isije kunitokea nikawa mkosa mim au nikapata hasara mim kama nitaruhusiw na police zidisha speed kiongoz anapit ili awahi vip kuhus camera zitaniach au bora wanigonge man kiukwl camer zinatupa hofu sana
2026-09-10 05:53:50
0
yussufalriyamy416 :
hii ni kiembesamaki mkunaz wa kwanz au ??
2026-09-10 09:07:58
0
To see more videos from user @sheikhkhamis, please go to the Tikwm
homepage.