@kiswahilitvonline: Mnamo Januari 16, 1999, ulimwengu wa masumbwi ulisimama kushuhudia kurejea kwa Mike "Iron" Tyson ulingoni dhidi ya Frans Botha. Pambano hili lilikuwa na presha kubwa mno kwani Tyson alikuwa anarejea baada ya kukaa nje ya ulingo kwa miezi 19 (mwaka 1.5)! Kwasababu ya kufungiwa leseni yake ya ngumi na kutozwa faini kubwa baada ya tukio la kihistoria na la kushtua la kumng'ata sikio Evander Holyfield mnamo Juni 1997. Hata baada ya kurejea kwenye pambano hilo Tyson aliongozwa kwa pointi raundi zote 4 za kwanza lakini alikuja kufanya mapinduzi ya alama kwa kumpiga mpinzani wake Knockout moja tu na kuumpa ushindi. Na usiku huo Mike Tyson alitengeneza dau la uhakika la Dola Milioni 10 ($10,000,000) (zaidi ya Shilingi Bilioni 27 za Kitanzania) kwa ajili ya pambano hilo pekee! 👉Ni pambano lipi la Tyson halitasahaulika?
kuna kitu cha kujifunza hapa
Kama kuna Baraka kubwa inakuja mbele yako asilimia kubwa ya watu watasimama upande tofauti na wako, Kama TYSON angepata muda wa kuwatazama mashabiki, akawaona wakimcheka ingemyumbisha kisaikolojia lakini hakuwatazama aka FOCUS na hitaji lake. Alipofanikiwa kumuangusha mpinzani kwa KO, walomcheka walibaki wanashangaa tu , So Painful 😂😂
2026-09-10 05:44:40
22
Chimbo Lako 🌍 :
Mohamed Ali pekee alitaka Tyson ashinde
2026-09-10 09:03:35
8
Loutis 🇹🇿🇰🇪🇨🇩🇷🇼🇺🇬 :
So many stars in one arena🤝
2026-09-10 11:49:07
0
doxantoc :
jamaa alikua mtu wa pisi kali kwer ila kwa sasa kazeeka me nimejifunza hili wanang 🥺🥺
2026-09-10 11:50:39
2
Papy anthary :
D P
2026-09-10 10:37:53
2
@its_rossie22 :
Mike Tyson pamoja na yote lkn alikuw na moyo mzur akaend mpk kumuinua mpinzan wake me nisingewez aki🤗
2026-09-10 12:53:12
1
Dr.karume :
hakika Life passes apo kuna mastaa kibao ila sasa washazeeka wengine hawapo kabisa ila walienjoy life so ukipata muda enjoy maisha
2026-09-10 06:03:39
5
Thomas :
Trump alikuwepo angalia vizuri
2026-09-10 07:46:51
0
Diddy Combs :
Trump anorld Schwarzenegger walikuwapo
2026-09-10 09:25:35
1
Rich :
Baba jen nae ndani
2026-09-10 07:09:46
2
venancemgosi :
Trump😀😀
2026-09-10 12:49:31
0
Kelvion23 :
Hii game ukiangalia vizuri kulikuwa kama Kuna kaubaguzi wa Rangi wa kiaina flan angalia pale ambapo jamaa kashinda. Will Smith na Muhammad Ali ndio walikuwa kama Wana kufaraha kwasababu ya umarekani weusi
2026-09-10 12:29:37
0
ahmad sidi :
uzito wa juu ✌
2026-09-10 01:09:54
1
kidole petrol kidole :
Arnold alikuwa anamcheka
2026-09-10 07:46:13
0
John Bendera :
Nan kamuon anold
2026-09-10 09:04:33
1
tamaam :
denzel Washington
2026-09-10 10:07:07
0
Kalahari Boss :
hapo kila alie unyeshwa na Camerman ni star...
ukiangalia vizuri utaniona. nikevaa ile langi ya upendo.
2026-09-10 09:57:18
0
Ngarinho :
uyo si anord kwel
2026-09-10 03:08:31
0
esther_ kombani💕 :
nime muona tramp 😂😂
2026-09-10 06:25:15
1
Mohamed :
mohed ally Yuko kwambali anaangalia, kiufup black we are so talented thus y whites fear Abt us
2026-09-10 10:29:02
0
abbasndilo :
nimemuona chakinoris
2026-09-10 11:28:09
0
To see more videos from user @kiswahilitvonline, please go to the Tikwm
homepage.