Muislamu wa kwanza aliekataa kuwa mnafiki. Mungu akulinde sana shekher wangu🙏🙏
2026-09-10 14:55:48
8
ZAINAB ABDULLAH :
kuna mtot alifia kwenye pajaj yangu tulikuw tuna muaisha hospital siku ya mandamano mwenyez mungu aipoke roho ya huyo mtot Amiiin na wote waliusika wafe inshallah
2026-09-10 11:15:21
9
Mohamedi H-masudi :
MUNGU akuzidishie uhai helima na busara Aamiiin
2026-09-10 16:16:18
3
mamahaika2 :
VIPI ILE YA ZANZIBAR ALIIOMBEA NANI? AU MI SIPO HAPA NCHINI
2026-09-10 13:17:34
1
Edina :
Baba Mungu akulinde uishi miaka mingi
2026-09-10 19:53:40
1
SHAKSIA :
Mungu akupe umri mrefu mtumishi kwa kupitia wewe ujumbe umefika 👌👌👌
2026-09-10 09:05:41
7
shakillah_zakia :
wewe shekhe wa ukweli, na mwenye imani
2026-09-10 07:46:49
5
duckworth :
ww ni STAR wangu wa mwez huu SMART DADY😳😳
2026-09-10 09:11:53
4
Jeremia :
Asante sana Ostaz
2026-09-10 08:31:40
0
suzenymwafongo :
kwanzia leo wewe ni baba yangu.. sitaki kujua kama una watoto au huna ninachotaka niwe mwanao
2026-09-10 12:52:03
2
@Fanuel :
Siasa na Dini kazi yao ni moja
Mmoja akiharibu mwingne anakuja kutengeneza..
Siasa bila dini haiwezekani
2026-09-10 13:38:57
2
waterproof 💧 :
nakulabali kaka mkubwa🥰🥰
2026-09-10 06:50:47
3
user4231241940421 :
Milele Amina napataga aman sana nikikusikiliza mungu akutunze
2026-09-10 14:07:46
1
neema :
uko sahihi mm naungana nanyinyi waislam kuliombea taifa
2026-09-10 14:24:21
2
Mwakilasa 123 :
Tunaombea katiba mpya siyo kuombea taifa juu walio kufa walikufa juu ya kutaka katiba mpya na si Kwa makosa🤔🤔🤔🤔🤔🤔
2026-09-10 11:45:17
2
chumadede :
sasa mtu kama huyu akiongea ukweli kama hùu,anapotezwa shida nini hamtaki kushauriwa
2026-09-10 12:44:33
2
Techn9ine :
umeongea ukwel ata mungu amekuona
2026-09-10 14:53:51
1
Zainushi :
MashaAllah
2026-09-10 08:04:06
1
To see more videos from user @tedcruz71, please go to the Tikwm
homepage.