suluhisho peeke n kila serekari iwekeze kwenye technology ili kila nchi itengeneze za kwao kuepuka yote hayo
2026-09-10 09:16:47
7
by Liko :
si ndomana walimjua khamenei alipo😁😁😁😁
2026-09-10 12:01:21
3
alsham_guide_zanzibar :
Ndio maan zamn wazee tv ilikuw wanaifunik
2026-09-12 00:13:51
0
samking :
ww unatushauri nn boss
2026-09-10 10:55:24
0
Aunt p :
mimi hapa sina nguvu kabisa yani najisikia vibaya sana
2026-09-12 11:02:36
0
malick 0091 :
Broo kuwa makini siku hizi wanapoteza tu, usijue vitu sana😂😂😂
2026-09-10 16:02:54
1
g'father :
Sasa tufanyeje ili kuepuka kudukiliwa na vitu hivyo
2026-09-10 16:29:37
0
Ramona :
Sasa wanawafatilia wangap
2026-09-10 14:09:20
0
DIZONGA :
hata hiz tunazo assemble wenyewe hapa mjin zna camera !?😅
2026-09-10 16:12:25
0
abrazuually :
Mm chochote nachowaza au nachosoma kinakuja nakiona
2026-09-10 14:16:09
0
iqta der queen :
mm tv yangu ipo chumban
bas nmeisha mm
2026-09-12 12:19:40
0
Chris_moloko :
kweli AI itakuja kuuwa watu. duniiani kote
2026-09-12 22:43:01
0
ام نرتني :
uwiiii nilijuwa niko na zali la mentall8
maana kila lenye nitaongea ao kujifikiria ni lazima nitaviona kwenye sim
2026-09-12 18:59:54
0
daforogo🌷 :
mimi nilifikiri Mungu unisogezea kila taaharifa ninapoitaji nikajiona choose one 😂 kumbe inapasa mazungumzo
2026-09-11 02:47:28
2
DISIGNER :
Ni kweli hata mm skunyingi nilikua najiuliza
2026-09-10 08:51:53
2
💲💎$TËV£💎💲 :
ahaa kwaiyo kumbe tupo kwenye mfumo flani ivii umeelezea vizuri nimekuelewa
2026-09-10 16:37:03
1
rw mane :
hiyo nikweli maana hata watekaji tanzania wanapenda kuchukua tv wakikukosa hata kwa polepole walichukua smati tv
2026-09-10 14:45:44
2
Nyota ya kheri🌟 :
Mataifa yaliyoendelea yamewekeza zaidi kwenye teknolojia binafsi ila kuepuka udukuzi, ila sisi huku twaletewa tu ndio tunaona tunapendwa😁😁
2026-09-13 06:02:40
0
krm__9 :
brooo me naomba nikuulize je ni TV za LG tu ndo ziko hivyo au ni TV tofauti tofauti zote ziko hivo .au kwa TV zenye mfumo wa batani ya microphone button
ndo zinakuwa na hizo mambo
2026-09-12 20:15:24
0
Nana beauty :
Nikweli
2026-09-12 08:27:06
0
MDUMULIYINYI® :
Mfumo wa kukusanya saut haujawekwa ili uzipeleke hizo taarifa mahali flan hpn umewekwa ili ukusaidie wewe kurahisisha matumizi… ni kama mečidizzy bez wanamfumo wa kuku sikiliza wewe na kufanya unachotaka while ukiwa kwenye gari but si kweli kwamba huo mfumo ukishakusikiliza wewe huwa unachukua hayo na kuyapeleka kwa wamiliki wa hiyo kampun ya magari NO!😂😂😂
2026-09-12 23:38:23
0
Sally.🇰🇪♥️ :
nikweli kabisa
2026-09-12 10:18:38
0
Atitiy :
ndo maana put in. kila kitu anatumia cha kwake
2026-09-12 04:25:29
0
To see more videos from user @matekawa3, please go to the Tikwm
homepage.