@chamulungu_tv: MADELEKA NA GOLUGWA WAZUNGUMZA KUHUSU USHAHIDI WA HECHE Wakili Peter Madeleka na Amani Golugwa wametoa maelezo yanayohusiana na mwenendo wa ushahidi unaoendelea kutolewa na John Heche katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu. Kauli zao zimeibua mjadala kuhusu masuala yanayojitokeza wakati wa ushahidi wa Heche na namna yanavyoweza kuathiri mwenendo wa kesi hiyo. Je, ushahidi wa Heche unaelekea kuibua nini ndani ya kesi hii? #ChamulunguTV #TunduLissu #JohnHeche #Madeleka #AmaniGolugwa
Ukisikia watu wanatafuta 'BackUp' basi ndio hiyoooo....!! Chakusikitisha nikujiaminisha kwamba Mnasema kwa niaba ya Wananchi...!! Tutafanya marekebisho kwenye maeneo ambayo mnahisi yanawakwaza....!!
2026-09-10 19:00:42
1
mr gain without pain. :
KWAHIYO?
2026-09-10 11:39:49
1
mafash-fash :
mtajamba....mcchezee seriakali
2026-09-10 18:20:58
0
My Life Still My Life :
Wao walitoana maini na nyinyi zamu yenu kutoana maini
2026-09-10 17:59:33
0
abdulbach2858 :
watuambie na kufanya uhasi ni biriani😅😅😅
2026-09-10 21:27:34
1
To see more videos from user @chamulungu_tv, please go to the Tikwm
homepage.