pole sana mama yangu mungu alaze roho ya marehemu mahali pema
2026-09-10 13:55:11
6
꧁𓊈𒆜𝗔𝗕𝗜𝗬𝗠𝗔𝗡 :
Very sorry
2026-09-10 13:46:33
1
rey :
pole cana mama yet mupendwa
2026-09-10 13:34:17
1
kibiriti :
inalilah wainaillah rajiun hakika kilanafsi itaonja umauti MUNGU akutie nguvu katika kipindi kigumu unachopitia pole san🤲
2026-09-10 16:16:40
2
🧕🧕🕋🕋🕛 $ :
Allah akupe nguv mama yet yt ni mipang ya Allah
2026-09-10 13:26:21
2
mashambamazuri :
asalamu Allaikum mheshimiwa rais wetu mpendwa kipenzi cha watsnzania ,pole sana Allah amsamekh madhambi yake yote marehemu mzee wetu, aliyoyafanya kwa siri na dhahir na akupeni subra katika kipindi hichi kigumu na sisi Allah atujaalie mwisho mwema .Amin rabil Allahmin
2026-09-10 16:05:13
5
Asha Lipale :
pole sana mama
2026-09-10 13:47:37
2
TAN BRAND OFFICIALLY 👑🇿🇦 :
Allah arhem
2026-09-10 13:54:40
2
SSS :
pole sana mama mpendwa mungu akupe subra na akupe mbadala wa Alie mchukua
2026-09-10 15:55:01
2
Sophia🥰 :
Pole mama💕🥰
2026-09-10 13:24:20
1
Abdulrahman. :
Tunakutakia pole mama samia suluhu hassan, pole hakuna marefu yasokuwa na mwisho, ata dunia inamda wake ukifika tu inaondoka. vuta subra Our forden mother.
2026-09-10 14:20:49
4
am ansy🌻🌻 :
MAMA ANGU SHIKAMOO
2026-09-10 16:58:10
1
j drummer :
pole sana mama yetu mungu akutie nguvu mimi binafsi naona mchango wako kagika swala zima la elimu...mungu akupe amani ya moyo
2026-09-10 15:42:05
1
boniphacemgng :
mama mola akutie nguvu ili uweze kuliongoza hili taifa Kwa kuwa liko chin yako 🥹🥹🥹🥹
2026-09-10 14:49:12
1
pilly lucas :
pole sana
2026-09-10 16:17:01
0
mashambamazuri :
tuko pamoja inshaAllah Allah. Akulinde na mahasidi wasiokutakia mema na Akupe wepesi zaidi wa uzima na Afya njema wasikuone wabaya daima inshaallah .Mh rais natoa pole zangu za zati Allah akupe subra sana katika kipindi hichi kigumu ,Mheshimiwa rais huna baya, tunaona unavyoijenga tanzania yetu .endelea kujenga taifa letu ,tunakupa moyo uko vizuri sana , Allah Akupe Umri mrefu Zaidi tuko pamoja inshaallah
2026-09-10 16:12:46
2
Kulwa Daudi :
Pole sana mama M/mungu hakutie nguvu katika kipindi hiki kigumu 🥲🥲🥲🥲🙏❤️❤️❤️❤️
2026-09-10 16:58:35
0
abraso boy@ :
mungu amrehem na amsameh makosa yake na sote kwa ujumla
2026-09-10 16:59:22
0
tusa wa chikandanga :
pole saana mama hakuna anaelihimili ili Allah awape subra katika kipindi iki kigum mtu awezi elewa mpaka yamkute dah Allah awazidishie nguvu
2026-09-10 16:48:47
1
Jacob. tz :
daah! pole sana 🥹🥹 mama ina uma sana mungu🙏🙏 awe nawe mama