Hahahaha🤣🤣 et dady dhambi zako nibebe mimi may God bless uuuuuu❤️❤️❤️
2026-09-16 10:26:35
0
Modesty :
call me mc viva or daddy weuweeeeeeeh😍🥰🤣🤣🤣🤣🤣🤣
2026-09-10 23:05:10
1
Queen enny :
viva mbona Una account mbili
2026-09-10 18:03:06
4
user9814305006117 :
wap Dad.....aaaah weeeee😂
2026-09-16 08:21:02
0
prettyMeh🦋 :
Da Viva tuma muendelezo kama hutaki shida na mimi🥺
2026-09-10 15:54:34
20
Abigaeli Allan :
Ila mc viva😂 eti sifanyi kazi na mzimu
2026-09-13 15:59:35
5
Ba2li💃🏻🔰 :
Kuna account fake ya viva ogopa matapeliiii😄
2026-09-11 08:51:25
2
mary kendrick :
jamanieeeee natafuta stori inayofanana na ya kwangu mwali kama mim na bwana kama huyu niipati naona watu ndio kwanza wanaanza mahusiano hata hawana kiburi wala jeur kwenye stori nyingi.. kuna mwali kama mim mwaka wa 6 sasa bwana kama huyu haogopi, hajifichi, usku na mchana yuko na huyo mwanamke na amezaa naye na hawana hata dalili ya kuachana na hawana dalili ya kuniheshimu hata wafanye mambo yao kwa siri ndo kwanza akiwa na shida anampigia simu iwe usku anatoka kwenda kwake mm nikijifanya nauliza wananiona mpiga kelele yaani naona kama dalili ya uke wenza jaman ndani ya mwezi ameshajichagulia siku 4 hadi 5 za kulala huko na mchana kila siku lazima yaan mchana na jioni ndo anakoshinda hata majiran wa huko wanaona ndo baba mjengo wake bwana kama yule aliyekosa haya
2026-09-11 03:31:50
2
Cece International🇹🇿🇨🇳 :
Daddy Kama Daddy 😂😂😂😂aaah nmecheka 😂😂😂
2026-09-15 13:14:23
1
deborahngogo7 :
Asante mwali,, nimejikuta nazurula kwenye hii page kila baada ya nususaa😆😆
2026-09-10 14:38:26
27
habibty :
wa mwanzo
2026-09-10 14:38:01
10
PREATY NATION ♥️🫂😩 :
Jmn kwn siku hizi ratiba imebadilika mwali 😂😂😂😂
2026-09-10 14:42:37
4
Sarah d :
jmn nimeisubiri hatari
2026-09-10 14:44:26
6
🔋 :
FROM TOYOTA TO DADDY [Tears of joy][Tears of joy][Tears of joy]
2026-09-11 00:08:45
0
Azzy_six19❤️ :
kuna mtu kafungua account uko anajiita mc viva [Innocent][Innocent]
2026-09-10 18:40:54
3
berthos :
Story ingine ngumu ee Mungu nilindiye ndoa yangu
2026-09-12 04:35:45
1
Last Born :
nakupenda sana nina ujasir mpaka najishangaa
2026-09-11 07:38:09
1
Mwasitymaliky :
jmn adi nakupenda maana bd sijaolewa lkn najifunza mengi kwako❤️❤️❤️
2026-09-10 16:05:08
3
💦❤️🩹🎀Mrs s🎀❤️🩹💦 :
jamn toka nakufatilia nimekua sugu nilikua nalia usk kucha Siri saiv nalia dakika Tano haziishi nakula zangu na lala😅🥰
2026-09-12 09:03:27
2
Girl 🌸🥰❤️👌 :
Niache bhn kila mty n maish yak😁😁
2026-09-10 14:56:50
1
nilove :
[Tears of joy][Tears of joy][Tears of joy] ila da viva kukupenda ndo kitu najuwa
2026-09-11 06:01:13
1
chynaah_0625 :
Pale kwenye majina yako tuongeze apo Daddy
2026-09-10 15:04:41
1
neykiki :
siwezi kufanya kazi na mzimu khaa🤣🤣🤣
2026-09-16 16:04:59
0
winlove :
dady unamambo😂
2026-09-16 10:59:39
0
To see more videos from user @mirrsviva, please go to the Tikwm
homepage.