@bongofive: Apple imezindua iPhone 18 Pro, iPhone 18 Pro Max na iPhone Duo, simu yake ya kwanza inayokunjika. Hata hivyo, Duo ndiyo iliyovuta zaidi mjadala baada ya Samsung kuijibu kwa kejeli, ikidai Apple imeingia kwenye teknolojia ambayo Samsung imekuwa ikiitumia kwa miaka. 🎤 @cathed__