@doctornoel: Maoni yako?

Dr. Noel, MD
Dr. Noel, MD
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 10 September 2026 14:48:45 GMT
23777
2420
119
125

Music

Download

Comments

shwai98
Sweet🧊 :
Mtihani wa service marketing nisingecheat nifeli vibaya mnoo
2026-09-14 06:14:20
1
navy..02
NAVY🦋 :
Me too sijacheat na sijawahi kusup, ask my classmates if you don’t trust 😂
2026-09-10 15:59:45
12
_.roxyb
_.roxyb :
Ht mm c kusoma la 6 Ila ilibd nisome la Saba bcoz of cheti n Nilisoma two months
2026-09-12 08:41:15
5
jona_b_tz
Jona_b_tz :
siku nilicheat nlifeli mpaka sup 😂😂💔
2026-09-10 15:42:20
19
dantte_banks
dantte_bankx :
Kuna watu bila cheat atujiis vzr
2026-09-11 06:34:27
7
urban_edmund
Pharm Urban Edmund :
primary 91 wakati alama huwaga ni 50 how Daktari ? au umesahau ?
2026-09-10 23:05:40
6
iylie_
iylie💋 :
Huo muda wa kuulizana mlipata wapi jmn?
2026-09-10 19:00:17
3
landloadi
landload :
mi toka shule ya msingi
2026-09-11 08:36:28
0
maxbieber8
Justinbieber :
dr noel mim niliwah kuumwa SJS . na ikapelekea kupata shidq ya macho ya kutokuon mbali. sasa kuanza primary sikuwah kuchet kwasab hata mtu akinipa niigiliziee nilikua siwez kwasabu sioni mbali. baad ya kujua hivo mtihan wangu wa darasa la saba mm ndo nilikua nasaidia watu . nilivo anza seconday nikaaanza kusoma ili kuondoq ile mindset ya cheating .nikaendela na hiyo tabia had namaliza seconday .hivo hivo advance na chuo . so yeah SJS iliniumiza lakn ikanifundisha kujipambania mwenyewe na kusaidia wengine pale ninapopaweza
2026-09-11 20:29:46
1
mylifestillmylife
My Life Still My Life :
Ushauri wako sio sahihi maana watu wanazaliwa tofauti na wanakuwa tofauti wanasoma tofauti na wanafanya kazi tofauti hivyo hatuwezi kuwa sawa maana mazingira yanabadilika
2026-09-10 16:58:13
4
joyful20www
Joyful :
hee!!aaah...ulinishtua mwanzon🤣🤣🤣
2026-09-10 14:57:21
9
gabriel_aneth
gabriel_aneth :
Mm kukaa wakwanza since nasary hadi chuo ilinihumble sana wazazi msiite watoto wenu Abigael nlkuwa siwez ata kugeuka kujikuna 🙌😂😂🥺
2026-09-10 17:06:31
0
malonetheboss
MALONE :
chuo baba maksi moja inkubadilishia apo tajir utnisamehe
2026-09-11 05:17:11
3
jembe_pro
jembe_pro :
discussion kwenye chumba cha mtihani😁😁😁
2026-09-10 18:40:20
3
tajiri_abasi
Makame kodema :
2026-09-10 16:49:15
1
beingmarina1
Itc~Marina💍💕🦋 :
Mm nikicheat nafeliiii bro😂😂😂
2026-09-10 17:54:57
1
official_ceo05
@CEO :
sema hapo kweny assignment 😁😁😁
2026-09-10 18:24:13
1
efm_store
EFM_STORE :
Mm sijawahi cheat wala kua na formation na nilikua nafaulu vzr tu sikuwahi pata sup hata moja siku niliyoangalizia nakumbuka ilikua UE ya surgery nilipata SUP😂😂😂😂😂 nilivosapua ndo basi mpaka namaliza sikuwahi cheat tena…
2026-09-11 21:07:46
1
ms_saly7
Ms_saly🥰 :
nilishtuka mwanzo ila kwenye mahusiano si unacheat
2026-09-10 15:00:18
6
borntowinn10
Finelady😲 :
mimi pia kama kuna kitu siwezi kukitatua huwaga siwaz
2026-09-10 16:39:55
2
To see more videos from user @doctornoel, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About