@uhondo.tv: Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Florence Samizi, ametoa elimu kwa mama wa mapacha watatu, Maridhia Miraji, kuhusu namna bora ya kuwahudumia watoto hao ili waweze kukua vizuri, ikiwemo kuzingatia usafi, lishe na kinga dhidi ya maambukizi. Dkt. Samizi amemuelekeza mama huyo namna ya kuwahudumia watoto njiti, hususan kuhakikisha wanapata joto la kutosha, lishe sahihi na uangalizi wa karibu, pamoja na kufuatilia afya zao kwa mujibu wa ushauri wa wataalamu wa afya. Amesema malezi na uangalizi mzuri kwa watoto njiti ni muhimu katika kuhakikisha wanakua salama na kufikia hatua nzuri za ukuaji na maendeleo.

Uhondo TV
Uhondo TV
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 10 September 2026 17:37:53 GMT
13283
302
9
12

Music

Download

Comments

mrssaid57
mrssaid :
Nakupenda mam[Heartwarming][Heartwarming][Heartwarming][Heartwarming][Heartwarming][Heartwarming][Heartwarming]
2026-09-10 20:18:50
0
egnomsemwa417
egno msemwa :
hongera kiongozi kwa elimu
2026-09-11 03:35:12
0
user35472437155268
EVA Mmary 🥰🥰 :
love mom wangu kweli umempa maneno mazuri hata mimi nilizaa mapacha kangaro ila kwa sasa ukiwaona uwezijuwa kama walikuwa kangaro
2026-09-10 20:23:20
1
ashamusa81
Ashnut products :
da mama unajua kutia moyo sana nimependa hata mm nina mapacha Wana miezi 2 sasa sili ya watt mapacha wanakua kwa haraka sana
2026-09-11 02:37:56
0
ummu_nadir
ummu_nadir :
hadi raha jmn, mama anamuelekeza vzr mashallah
2026-09-10 18:54:22
0
user5318080025066
everina :
mungu nimwema akukuzie na mimi namshukuru mungu nimepata mapacha wa kiume wawili
2026-09-10 20:31:31
0
tulimwinuka
Tuli Mwinuka :
mama km mama Asante kwa ushauri
2026-09-10 19:17:14
0
anethcharles0
mamito :
2026-09-10 20:20:26
0
mambuo20
mambuo20 :
nimetamani ningeelekezwa hizi na yule wangu alikuwa 1.9
2026-09-10 20:14:17
0
To see more videos from user @uhondo.tv, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About