@anahrubh3704: Qur'an inafundisha kuwa maisha haya ni sehemu ya mtihani wa kuelekea maisha ya milele baada ya kifo. Hivyo, inasisitizwa kuwa watu waishi kwa furaha kwa kutenda mema, kuwa na subira, na kuwa na shukrani kwa yote wanayopokea kotoka kwa Mwenyezi Mungu. #Islam #Quran