@haxxanmxhana: “Enyi mlioamini! Inapoadhiniwa kwa ajili ya Swala siku ya Ijumaa, nendeni kwa ajili ya kumtaja Allah na acheni biashara. Hayo ni bora kwenu ikiwa mnajua, na inapokwisha swala, tawanyikeni katika ardhi, na tafuteni katika fadhila za Allah, na mkumbukeni Allah kwa wingi ili mpate kufaulu.” #creatorsearchinsights #muslimtiktok #fypシ゚viral__ #islamic_video #islamic