@cwgchiwaga: Maajabu ya Dunia yamejitokeza nchini Argentina baada ya bahari kuwa kavu Kwa sehemu kubwa ya eneo lake katika Hali isiyo ya kawaida na kumpelekea kugomga vichwa VYA habari.
tusome sayansi hata kidogo jamani sio kila kitu ni adhabu za Mungu, Mungu wetu sisi ni Mungu hatoi tu maadhabu kama mnavyodhani, kuna kitu kinaitwa LOW TIDE AND HIGH TIDE, LOW & HIGH TIDE utokana na mvutano mwezi na mchango wajua kinachoendelea hapo ni LOW TIDE ambapo maji utoka kutokana na mzunguko wa dunia kuna sehemu mvutano wa mwezi na jua unakuwa mkubwa kwahiyo maji utoka katika fukwe baadhi kwenda kujaza sehemu nyingine ambapo pia iyo sehemu mawimbi yanaweza kuwa makubwa na maji kujaa kwenye fukwe zake kwahiyo maji hayapotei ila uwa yanatoka kwenda kujaza bahari sehemu nyingine kutokana na mzunguko wa dunia na mabadiliko ya hali ya hewa pia uchangia, Mungu wetu anatupenda sio Mungu wa maadhabu kwenye kila kitu, vitu vingine ni sayansi tu ya dunia tunatakiwa kuielewa..
2026-09-12 15:16:38
58
zacknation.com3 :
Huu ndio muda wa kuuza viwanja
2026-09-12 15:13:18
33
No matter :
Maji yame jikusanya kwa ajili ya elnino bongo🤣
2026-09-12 17:20:26
27
user4921157175675 :
wakate tu viwanja watu wajenge
2026-09-11 16:04:36
25
fidelis318 :
Beach prot
2026-09-13 07:36:47
1
it's_hunner Jr 🦋💕 :
sasa kama Dunia imefika mwisho sisi ambao hatujaolewa ndy hatuolewi tena jmn
2026-09-12 21:51:44
6
John Avicii :
There's calm before the storm
2026-09-13 14:06:04
1
stony-wisdom@ :
run run run
2026-09-12 13:03:37
3
SK09-ELECTRONICS :
Hayo maji yaliyotoweka Argentina yamekuja Singida
2026-09-12 16:58:35
7
maniarrichson :
Nawaambia kuna gharika inakuja kuwafunika hamtaelewa. Hayo maji yatakuja kurudi ghafla kwa kasi na yataleta madhara makubwa.
2026-09-11 09:17:49
18
Plasidy Mhaya :
Ni AI kwa sababu kama ni bahari meli ingeonekana iko shimoni kwa ajili ya kina cha bahari sasa hapo oanaonekana flat na meli imo jirani ni uongo.
2026-09-11 22:50:24
10
Samuel Shashanga :
matukio ya siku za mwisho
2026-09-11 19:20:52
7
Ernest Hemingway 047💯 :
hayo ndo mamb ya kidunia sas
2026-09-12 20:44:03
2
Anode :
wote simameni watoa comenti teyari aya tuombe wote 🤲🤲
2026-09-12 17:02:30
7
Sangulo Rashoo :
Afzal imepotea lkn sio kupanda juu ☺️
2026-09-13 02:41:06
2
zakaria samson :
niuzieninkiwanja hicho
2026-09-12 11:51:23
2
JO Classic HD :
Ngoja nikawahi kiwanja
2026-09-12 21:14:35
2
Batista :
imeshaludi
2026-09-12 14:39:26
2
Nichoraus Richard :
hyo c n kupwa na kujaa
2026-09-12 14:02:27
2
angelcomme1 :
kupwa na kujaa kwa maji
2026-09-12 13:41:57
3
@#STOPER# :
yalienda Nepal
2026-09-12 18:47:43
2
dvj Bimbim :
ikirud msinisumbue
2026-09-12 20:55:18
2
Official papaa :
makubw
2026-09-12 15:08:28
2
Mbovu Rider :
Mbn hayaondk na uku Tanzania?
2026-09-12 22:45:06
2
To see more videos from user @cwgchiwaga, please go to the Tikwm
homepage.