@nyayotv: Unapoamka asubuhi kwenda kwenye harakati zako hakikisha unamuomba sana Mungu uwe na baraka na akuepushe na matatizo maana watu hawajali hata kidogo kuhusu wewe😳 Huyu hapa dereva toyo ambaye amegonga gari baada ya brake yake kukatika,licha ya mwenye gari kumuuliza kwamba anatakiwa amsaidie kidogo ili kutengeneza mwanaume huyu alimjibu kwamba kutokana na kipato chake yupo radhi kwenda kituo Cha Polisi na familia yake iendelee kuteseka kwa maana hana hata uwezo wa kulipa gharama za gari hilo.... Je, kama wewe ndo ungekuwa mmiliki wa gari hili ungeamua kufanya Nini baada ya tukio hili!?🤔 @PROFESA ✍️ #tiktoktanzania🇹🇿 #creatorsearchinsight #fyp #tiktokkenya #fypシ゚viral

NYAYO TV
NYAYO TV
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 11 September 2026 06:08:13 GMT
247726
23264
1438
690

Music

Download

Comments

cute.mpole3
cute mpole 🥰 :
Watoto wakimasikin ndo tunaweza kumwelewa huyu baba lkn wao hawawez😭😭
2026-09-11 07:36:25
2247
jonathanjj330
Jonathan Jacob jj :
Tunaomba namba tumchangie Mzee wetu asiendelee kujieleza hivyo sio sawa
2026-09-11 08:47:21
652
cute.tz1
it--is--janeth💤 :
mzee anaongea kwa isia kabisa
2026-09-11 07:07:50
937
sofiaibrahim868
✨💫 :
Ingekua ni kenya angekua ashachangiwa🥹
2026-09-11 09:09:30
440
horsepowerenergy1
🐴Horsepower :
Here in Kenya we would have contributed paid for damages and even opened him a better business. The Mzee is so genuine with his response.
2026-09-11 11:06:12
41
iconictv0
iConic :
Bwana mimi nilivyo haijarishi mtu kanikosea vipi lakini akikiri kosa na akakubali hivi kutoka moyoni mimi namsamehe
2026-09-11 08:13:36
382
shuuhatun3
Shuu hatun ❤️🦋 :
Maskin babaangu 🥺🥺
2026-09-11 07:48:54
203
la.mama08
Official maggie 08 :
Msameheni tu jamani hajakusudia
2026-09-11 07:42:43
409
deetryzah
deetryzah :
Da tutafuten pesa sana wazaz wetu wanadharirika 🥺
2026-09-11 19:43:24
6
majorelvy
elvymajor :
the fact that he is saying heri ashikwe you should understand how his life is its sad to see this
2026-09-11 09:30:32
2
paris.college
PARIS COLLEGE COSMETOLOGy... :
please forgive him he's a dad trying his best to support his family 😢
2026-09-11 10:46:27
10
ruthakinyii562
Mrs ❣️❣️ :
aki woyee I feel pity for him
2026-09-11 11:58:31
1
safinaramadhani45
💫🦋Phina💅💅 :
cijui nalia nini 🥹🥹🥹🥹😭😭😭
2026-09-11 09:33:26
12
wanjirunganga41
rozzeyfootwear collection🇰🇪 :
forgive and forget,he's sorry
2026-09-11 14:39:49
2
much03206
mose :
igekua kenya tungekua tushamnunulia mzee prado yake kama hiyo kenyans gonga like tukisonga
2026-09-11 17:17:09
10
hansnolvan
Hansnolvan :
Daah umasikini naulaani sana, yani nimefikilia sana uyo mzee anavyoongea kwa hisia. Mungu wasaidie wanaume wanaopambania familia zao uku nje wanakutana na mengi.
2026-09-11 07:17:55
647
antonnztzvc
herob002 :
we call it mechanical error
2026-09-11 19:45:39
1
mwende.stac
Dkt.Stac 🇺🇸 🇰🇪 :
Can I pay for him !?
2026-09-11 09:12:58
100
milded_hezlon
Try✍️ :
Eeh mollah tuajarie mioyo ya kusamehe 🙏🙏
2026-09-11 08:02:19
38
baby.girl22364
baby girl 🥰 :
kwani mukimuacha kuna shida gani mzeee ana busala sana😭
2026-09-11 08:18:27
58
introvert.power80
INTROVERT power :
kumuacha aende kuna shida gani jamani
2026-09-11 07:59:31
97
missyoriyorilove
Miss Yori ❤️ :
Familia za kimaskini ndo tunaelewa huyu baba hisia zake 😭😭 ameongea kwa uchungu sana hana maskini hana Mpaka Kaomba apelekwe police 😭😭😭
2026-09-11 08:05:30
32
user5433084551793
[email protected] :
Unaweza kukuta sio gari hilo,ni JOKA hilo linatembea barabarani na hapo limeshaumia
2026-09-11 08:49:49
24
lucyisack105
Lucy Isack :
wasio muelewa huyu baba ni watoto wa kishua,ila sisi masikini tunamuelewa,Kama mwenye gari anahitaji kulipwa tumchangieni jamani,Yani mtu mpaka anaomba awekwe ndani!kaona ajihukumu mwenyewe.(soma na kuelewa)
2026-09-11 07:33:29
48
To see more videos from user @nyayotv, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About