@malkiachoicefm102.5: Je, ni kweli kwamba wakati mwingine kujua kila kitu kuhusu usaliti wa mwenza kunaweza kuleta maumivu zaidi, au mwanamke ana haki ya kujua ukweli kuhusu kinachoendelea kwenye ndoa yake? Cc @bintisharif_ @somowataifa #MtaaWaPilia #MalkiaChoiceFm #ChaguoLaMalkia
Hakuna chochote Kukujua nakujua na maumivu hunipi [Laugh approved][Laugh approved][Laugh approved]weeee yani mimi nakuchokonoa nakujua kindakindaki na hunipi maumivu abadani[Laugh approved]
2026-09-14 16:00:32
1
dyanaprincess2020 :
yaani mimi mme wangu anavyonicare na kunipenda yaani sitishiki hata kidogo nikickia anamchepuka yaani naona kabisa mtu anavyochezewa na kupotezwa mda wake yaani mme wangu mimi ni roho yake na hata ya kuchepuka labda mtu aniletee umbea ila hata kumhisi huwezi kwa jinsi anavyosimama kama mume bora na baba bora kwa familia yake
Kila mmoj an tamaaaa tofauty yetu n wao n kua wanafany wazi n ss tunaficha that’s makes them selfish
2026-09-14 12:29:16
2
rosellageunsuk :
mwanaume hajaumbiwa kuzini msiwape kichwa
2026-09-14 14:57:07
43
anna saimoni :
siwe mmi
2026-09-14 18:09:41
0
nickoratha :
asanteeee
2026-09-15 10:17:20
0
m&m :
Huwa napenda nimjue mchepuko wa mume wangu, ili nijue ananini? chakunibabaisha🤣
2026-09-14 13:18:06
35
ashura :
nikweri kabisa
2026-09-14 10:20:01
10
IamDatty :
Sipendi watu wanaohalalisha Uzinzi mimi🤗 ila siyo huyu
2026-09-14 13:08:50
22
user2005760807828 :
mchepuko wa mume wangu Mimi siku nilio mjua mume wangu alisema namuacha Leo Leo akampigia SIM akamwambia sikupendi tena naipenda familia yangu akaanza kujileta maneno ety anamimba akaambiwa siijui iyo mimba na ukitaka zaa ukitaka utajua wew lakufanya akazidi Mim na mume wangu tulimchamba wote kwa pamoja alilia atali
2026-09-14 16:10:38
11
keypbenedo :
weee me uwaga sikubali mpaka nimjue na sijawah shindwa siwezi kulia hata iweje mamaeee! yan nilie nalilia nini kwa mfano!? naamsha mpaka kieleweke
2026-09-14 11:17:51
14
Gully_gully :
Ntaka nimjue nimpige😩🤣
2026-09-14 20:05:41
0
tripplemum :
haswaaaaa
2026-09-14 15:19:52
1
Oliver food point❤️ :
Mimi nna kiherehere napenda haswaaa nimjueee na mme wangu siachani nae
2026-09-14 15:11:33
6
latifa Mohamed swalehe :
kweli kbs unabanana naye mpaka mchepuko awombe poo wanaangaika kwa wanganga ili waribu family za watu ila mungu ndiyo mganga tosha
2026-09-14 11:01:30
9
Da tinna😊💘🦋 :
haki sawa kwa wote Kila mtu awe na mchepuko wake bhana khaaa hakuna matamanio wala nini😂
2026-09-14 21:22:13
6
Neema :
kwenye kulia hapo hapana
2026-09-14 14:34:54
5
mama atifah ♥️♥️ :
naufahamu lakini mchepuko umepoaaa haustui
2026-09-14 12:17:39
2
khanjr :
hii namuonesha mke wng yani ananichunguza sana ahsnt dada kwa ujumbe huu
2026-09-14 19:57:39
0
my hero💪🤩😍♥️ :
siwezi kuogopa kumjuwa labda atembee na mdogo wangu au mama angu ila hao wengine nataka niwajuweee
2026-09-14 17:16:02
2
mwaju 💞💞💞💞 :
usitushauri utatuchanganya bhanaa mme ninaye naninatamba nae akichit nachit saiz tupo nje ya muda bhanaa[Big LOL]
2026-09-15 10:10:07
4
maysadulla :
mchepuko Wa mume wangu anajulikana ukweni...
2026-09-14 18:29:02
3
To see more videos from user @malkiachoicefm102.5, please go to the Tikwm
homepage.