@coolnews24hrs: Huu ulikuwa ni mchezo wa watani wa jadi kati ya Liverpool na Manchester United kule Anfield (2022). Cristiano Ronaldo alikosa mechi hii baada ya kupitia kipindi kigumu cha kuondokewa na mwanae mchanga wa kiume aliyefariki wakati wa uzazi 👼💔. Licha ya upinzani wao wa jadi, katika dakika ya 7 ya mchezo (kuheshimu jezi yake namba 7), uwanja mzima ulisimama! Mashabiki wa Liver walinyanyua mitandio, benchi la ufundi, makocha na wachezaji wote walisimama kumpigia makofi ya heshima na faraja 👏🤝. Mashabiki wa Liverpool waliiimbia familia ya Ronaldo wimbo wao maarufu wa "You'll Never Walk Alone" kuonyesha hawako peke yao kwenye maumivu hayo 🎼❤️. Huu unabaki kuwa moja ya uthibitisho mkubwa kwamba soka lina utu, huruma, na ubinadamu unazidi ushabiki na pointi tatu! 🫡⚽ Follow @coolnews24hrs For more 🙏 🏆 ⚽ #RespectMoments #manunited #CristianoRonaldo #fypppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppp #viralreels

Cool news 24hrs 🇺🇸🇹🇿🇰🇪
Cool news 24hrs 🇺🇸🇹🇿🇰🇪
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 11 September 2026 09:05:09 GMT
6753
611
3
3

Music

Download

Comments

evody195
@evdy 84 :
himself goat mamen
2026-09-11 09:46:22
1
user6816185142777
v96 :
afuu man u na liver so watani wajadi kule si bongo wale ni mahasimuu kuwa makin
2026-09-11 10:57:26
0
fatherb88
#Offical_Gido👊👊 :
[Tears of joy][Tears of joy][Tears of joy]
2026-09-11 09:31:43
0
To see more videos from user @coolnews24hrs, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About