@hmahalu: FANYA KAZI HAKUNA MUNGU AU MIUJIZA MUNGU ALITUPA AKILI NA KILA KITU #energy #awakening @P Taore

MamaTJ
MamaTJ
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 11 September 2026 09:58:17 GMT
30282
1938
149
139

Music

Download

Comments

samson.lucas48
Samson Lucas :
You spoke the truth without any hesitation.
2026-09-12 08:58:45
2
star_waves8
G.son :
I'm tied to say this to My friend 😏 they think I'm crazy
2026-09-12 04:15:59
2
msafiri.khansa
Msafiri Khansa :
thank you so much my brother
2026-09-12 13:47:55
0
gboy16303
gboy :
but this guy is racist why don't spoke about muslim perhaps spoken about christianity
2026-09-12 10:15:45
0
christopher.ngony61
Christopher Ngonyani :
hakuna mungu wakutusaidia waafrica tufauti na kaz
2026-09-11 16:30:48
25
daudimathias
Daudi Mathias :
nigeweka status ila sema mimi ni mzee wa kanisa ntaambiwa nimekengeuka..😂
2026-09-12 05:31:52
17
iddi_amini
iddi_amini :
big brain
2026-09-11 19:02:28
0
likestar183
Likestar :
kabisa dini zinatupoteza dana waafrica.
2026-09-11 16:41:11
10
user629614294612
Patrick's :
respect 🫡
2026-09-11 20:41:21
1
kufarazima
Kufa lazima :
tunge pata viongozi kama huyu Africa tunge fika mbali sema sasa mengi mazezeta
2026-09-11 17:09:42
14
isuta.mwangi
mtoto wazamani :
na anahutubia watot kbsa ili waelewe kuwa hakunaga kitu inayo itwa miujiza ili upate maendelea lazm ufanye kaz na sio kusubiria muujiza asante captain traore
2026-09-11 18:25:34
11
hans_perez_
Hassanblack🇳🇴🇹🇿 :
Dini zote sio mbaya hila wanaiongoza hizo dini ndio mazombie kabisa wanatumika kutugawanya kutufanya tusipendane wakati dini imeeleza upendo na kumjua mungu na kufanya kazi kwa bidii kupambana na umaskini na maradhi na mambo kibao
2026-09-12 09:14:32
1
yuzzoo7
Yuzoo :
kazi kwa bidii ndio mungu wako
2026-09-11 19:45:47
6
tfive_mnyama
T Five :
Wazungu walitukuta tuna ardhi na wao wakiwa na bibilia, walituambia tuombe tukiwa tumefumba macho na tulipofumbua macho tulijikuta tuna bibilia na wao wakiwa na ardhi. 🔥🔥🔥🔥
2026-09-11 21:54:12
5
user315561120607
Asimwe 07 :
ee Mwenyezi tujalie rais kama huyu
2026-09-11 21:11:13
5
chemilshirima
CHEMY :
katisha sana mwamb
2026-09-11 18:19:44
6
ruhegangu
RUHEGANGU :
turaore&tundurisu nawaombea kwamungu sana
2026-09-12 11:00:50
0
user433943233
John Z :
nasubiria maoni ya wafia dini hasa wa dini yake wanaotukana dini za watu wengine
2026-09-11 17:34:28
11
danny_brown_tz
danny_brown_tz :
respect uyu jamaa yupo mbele ya muda sana kama ameweza kuliona ili na kulisema wazi
2026-09-11 18:59:04
11
hans_perez_
Hassanblack🇳🇴🇹🇿 :
huyu ndio alitakiwa awe Raisi wa Africa nzima
2026-09-12 09:12:20
1
mosses_5
🗣️ Young_Man.🇹🇿 :
inawezekana Dini ikawa sio mbaya lakini inatumiwa vibaya
2026-09-12 04:39:34
4
chris..badman
Jesus..Lizard :
Kuna Rais wa kuhipambania Africa pamoja na wananchi wake pamoja na nchi yake huyu Ibrahim ni Fire Ila njoo Tz wapo busy na kununua magoli
2026-09-12 08:56:28
3
user6530275316913
user6530275316913 :
Tusipofanya kaz hat Mungu mwenyew anatuon hatuna akili 😂
2026-09-11 20:48:43
3
princedavid22712
Prince unique :
nizamu ya bukinafaso SASA 🔥
2026-09-11 20:39:19
1
gwenoboy
gweno boy :
salute Traore
2026-09-11 18:20:49
2
To see more videos from user @hmahalu, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About