@coach_salmin: #bussiness

COACH SALMIN | RISE OF GEN Z
COACH SALMIN | RISE OF GEN Z
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 11 September 2026 14:09:17 GMT
165959
9098
625
174

Music

Download

Comments

nkeno808
KING🫶🏼 :
Aagghh! Kashantbua mie.. Mbnaa hmalizii🙄
2026-09-13 05:26:32
0
9.7yy
Golden Y9 :
Tukikupa 200k ndani ya muda gani utatupa faida ya 20M coach ??🥲
2026-09-11 22:12:44
89
makera762
Abdul :
unatuletea notes za economics ap😂
2026-09-12 14:33:50
0
tesla12e8
Buggo :
umejisikia kwel unachokiongea , in short its not possible labda gambling
2026-09-12 10:21:39
1
nungutz
Porcupine junior :
mfano una laki 3 unanunua mayai tray 8500 kwa siku yanatoka tray 10 mwaka utakua na faida gan
2026-09-11 19:32:37
25
lucky_mziwanda
Lucky mziwanda :
jamaa alisema ukiwa na laki 2 utatumia miaka mingi sana kupata mil 10
2026-09-11 17:28:21
17
hussein.idrisa1
Hussein Idrisa :
Wasomi bhana [Tears of joy][Tears of joy][Tears of joy]
2026-09-12 16:51:37
0
msafirithepodcast
MsafiriThePodcast :
Sikilizeni wasoma vitabu tuu sisi tunasikiliza wafanyabiashara
2026-09-11 20:05:51
56
shabani_store
SHABANI STORE :
Nimesoma comment zote
2026-09-13 07:53:41
0
batromeo99
Batromeo :
let me start
2026-09-12 17:01:31
0
user2742502825523
Ahmad Abdullah :
ignore those depending on theories. ukiona mtu ana 200,000 kama mtaji ujue kila kitu kinatokea kwenye hiyo 200,000. upate milioni 20 labda jua litoke kaskazini
2026-09-12 14:04:00
19
chidox_8
Chidox :
Husituamvie kitabu utuambie hiyo biashara laki mbili tunazo
2026-09-11 21:41:18
12
frankfarms00
Frank Farms :
ukishaona maelezo yanakuwa mengi mara vitabu ujue jibu ni NO
2026-09-13 17:08:50
7
victorkingov50
TV & radio presenter, Comedy :
kusoma vitabu na kufanya biashara ni vi2 viwili tofauti vitabu havileti wateja Bali Ubunifu na mvuto wa biashara
2026-09-12 06:51:44
13
dukajipya_
DUKAJIPYA :
watanzania wanaamini mtu aliyefanikiwa akiongea basi Yupo SAHIHI KWA mtaji wa laki mbili ukiwa na nidhamu unatoboa watu kibao wamefanikiwa
2026-09-12 04:43:20
9
abbasi.habibu
Abbasi Habibu :
Sawa naomba unambie 200000 unafanya byashara gani ili upate hiyo 20m kwa mwaka
2026-09-11 19:25:50
13
coldroomtz
Immah Makari :
Network Marketing nchi za wenzetu huku kwetu wanaofanikiwa ni asilimia 4 kati ya 100 tena lazima uwe mnjanja mnjanja sana ndio utatoboa.
2026-09-11 20:00:11
8
godfreynkya1
bigboy :
Watu ni wabishi jamani..Nyie wabishi hakuna kitu kinashindikana chini ya Ili jua..mtu Amefanya ameweza anaongelea uzoefu wake..Uyo jamaa wa jeans yeye anaongelea upande wake tusisahau kila mtu ana upande wake wamaisha
2026-09-11 20:25:41
6
thesourthengiant
GREAT MAN :
Ni ngumu Sana kukuelewa kaka😃😃 unazungumza Vitini, watu wanazungumza uhalisia.
2026-09-11 18:11:54
6
iamdirector_africana
Africana :
mimi hawa wazee wa reference wa vitabu ni waongo njoo kwenyw field huku uone sio kuzungumzia kwenye vitabu
2026-09-12 04:11:33
6
fundi_pooltz
Lastborn mtweve :
Huwezi bana
2026-09-12 06:26:05
1
qas8463
Bitogwa's son :
bahati nasibu
2026-09-11 20:34:19
1
jimmymasanja2
jimmymasanja :
ngoja nikamuulize chat gpt
2026-09-12 20:12:32
1
olle.samberu
@OLLE SAMBERU :
😂😂laki2 izae milioni20
2026-09-11 20:05:37
1
user1703243067150
hayase hb :
swala robart kiosak
2026-09-11 20:13:11
1
To see more videos from user @coach_salmin, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About