@millardayo_: Mjadala umeibuka katika Baraza la Wawakilishi Zanzibar kuhusu matumizi ya kamera za kudhibiti mwendo kasi barabarani, baada ya Mwakilishi wa Jimbo la Paje, Jaku Ayoub kuhoji hatua zinazochukuliwa dhidi ya magari ya Viongozi yanayokiuka Sheria za Usalama Barabarani. Jaku amesema ameshuhudia magari ya Mawaziri, Manaibu Waziri na mengine ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) yakiendeshwa kwa mwendo kasi unaokiuka sheria. Ametaka magari hayo pia yapigwe faini, akidai utekelezaji wa Sheria unaonekana kumkandamiza Mwananchi wa kawaida huku akilalamikia ukubwa wa faini zinazotozwa. Akijibu hoja hiyo, Naibu Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar, Badria Attai amesema Sheria hizo zinawahusu wote na hazilengi kuwakandamiza wanyonge kwani yapo magari ya SMZ yaliyo kwenye rekodi za makosa ya usalama barabarani. #MillardAyoUPDATES

millardayo
millardayo
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 11 September 2026 15:06:09 GMT
41249
2778
244
242

Music

Download

Comments

daulishaz4
daulishaz💓💓 :
faza umetixha sana
2026-09-11 17:31:10
0
dralljamal2022
Dr.alljamal :
1000 x 230,000 - =230,000,000
2026-09-11 18:59:31
0
jumamussa22
jumamussa :
mweshimiwa jaku apo nafasi hupewi kwa swala la kutetea umma
2026-09-11 16:17:58
43
alphaswiftride
Alpha swift ride and tours :
majibu mabovu. wao ndo hao wanoendesha mbioo. haiwezekani Katika gari 1000 za serekali ziwe 8!?!! does it make sense??
2026-09-11 15:20:05
28
allydaddy80
my name is.. :
no one above the law
2026-09-11 16:20:32
1
user2697137963210
Makamo wa Raisi :
KAKA WAMBIYE TUNAONEWA SANA NAKUSHUKUR SANA UMENIWAKILISHA
2026-09-11 17:00:39
12
khalidturky86
Khalid :
Waongo wakubwa. Gari zote za SMZ, MAWAZIRI NDIO hawafati sheria
2026-09-11 17:11:54
10
leythaflah7
fighter :
ayo magari ya serikali mie naona ndio namba moja kuvunja sheria barabarani
2026-09-11 16:48:57
11
mohd.salim9095
Mohd9095 :
Waambie Hao boss JAKU
2026-09-11 16:44:36
5
abdullatif.muombw
Abdul :
katika gr zinazo ongoza kw ruff ni gari za smz
2026-09-11 19:07:23
9
salum.salim57
Salum salim :
zanzibar gar ya serikal haikai kweny foleni wazee wa kuforce hawasimami kweny traffic light hawajui asa km kuna zebra kross 😂 pa speed 50 wao mia na 20 kuna SLS hawa ndo noma 😂
2026-09-11 17:14:50
6
africanbeauty752
African beauty :
kwanini hakujibu kuhusu fain za papo kwa kuwa hazitakiwi kuvuka dola 15
2026-09-11 16:19:15
8
zahormohammed181
Zahor Mohammed :
jee hizi gari za serikali zinazobandikwa namba za private mfano zile KIA Sorrento mnazidhibiti kwa namna gani maana hata wakati wa kazi utazikuta zipo ofisini na namba za private na jioni na weekend zinapiga misere kama sio za serikali like hili
2026-09-11 19:07:35
2
simple3604h3
OLD TIMER :
Sikweli KIEMBE SAMAKI Zikipita Kama British Air force
2026-09-11 17:21:30
5
alifyaheenaartist
alifya heena artist :
Mmmh sio kweli, nimepishana na magari ya serekali mara nyingi njia ya migombani na honi unapigiwa usogee apite mabio
2026-09-11 19:34:28
0
allenleonard2
mduo :
kheeee madereva wa serikal tunaowajua sisi au wengn sielew
2026-09-11 15:35:39
2
hamdounmansour
Hamdoun Mansour :
je camera zinajua kwamba vi today huvai helmet?
2026-09-11 19:55:53
0
medizo_08
medizo_08 :
umeongea point sna
2026-09-11 16:47:22
1
talentscupznz
THE TALENT’S CUP ZANZIBAR 😇🥰 :
wanazingua, speed ukifika 60 tu 233000
2026-09-11 16:40:54
1
yussuphabdullah43
yoki nero :
2naweza kuongea then mka2funga
2026-09-11 17:44:17
1
ichufreshsaleh
Ichufresh Saleh :
Jee msafara ukitaka kuja nyuma yako kwenye camera askari anakwambia apo uwende mbio kwenye camera jee kwanini tunapigwa fine
2026-09-11 16:51:57
2
dryathryy
yathryy 💞 :
Dada hujajibu suala kabisa
2026-09-11 17:04:51
2
arkamabdul996gmai.com
[email protected] :
kwa kweli zanzibar bado hatujafikia iyo hatua ya kuwekewa camera za barabaran yani bado kabisa hatujafkia iyo hatua
2026-09-11 16:26:27
2
abullet_maparah
Abullet_Mapara :
kuna siku hii serikal itakaa kitako kuwaza kuhusu manufaa ya raiya wao mana naona akil zao zinafanya kaz vzr kwenye kuwalanguwa tu,pia camera haizuwii mtu kufa barabarani pia tozo kubwa dola 100 kwa kosa hii tozo ipo znzbar tu ktk hii dunia,kikubwa mupate mda wakuwaza kukuza na kipato cha raiya wenu tutawachukia hamta amini.
2026-09-11 22:17:06
0
bill.naxx89
Bill Nass(505) :
excellent
2026-09-11 22:23:37
0
To see more videos from user @millardayo_, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About