@bbcnewsswahili: 'Waambieni Watanzania mwenyekiti yupo vizuri hajachoka' Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, amewahakikishia Watanzania kuwa bado yuko imara na hatarudi nyuma katika mapambano yake ya kisiasa. Kauli hiyo ameitoa baada ya kesi ya uhaini inayomkabili kuahirishwa hadi Septemba 14, 2026. #bbcswahili #fyp #foryou #tanzaniatiktok #uhaini #chadema
Ulisema atakinukisha mwisho wake umenukishwa wewe duuuh kweli Siasa ni mchezo mchafu .
2026-09-11 16:19:02
4
Dicto :
Mwamba anatu inspire sanaaaa
2026-09-11 15:40:24
10
FrankieJr.💯 :
Man ov GOD
2026-09-11 15:51:41
4
Denis Minja :
Katiba Mpya ni Sasa
2026-09-11 15:58:57
18
Yohana Mhagama :
tuta mkumbuka uyuu kwa vyovyote
2026-09-11 16:01:02
13
Official Naseeb junior :
Free Tundulisu....
2026-09-11 15:25:18
18
Dominic Welding :
Wanaompenda lisu gonga like
2026-09-11 17:53:34
2
Chunyaempire21 :
2026-09-11 15:48:12
5
Jackyson Tz :
Mwamba kwel Mungu amekuleta kwa makusudi yake
2026-09-11 15:47:09
5
Mrisho Jr :
mungu akulinde rais wang
2026-09-11 16:31:19
4
Denis Minja :
Free Tundu Lissu
2026-09-11 15:58:31
1
popote8 :
lissu ongea kiswahili wana ccm hawaelewi kizungu
2026-09-11 17:00:54
7
Ng`wanayande :
nimefrahi sana kuona
mwenyekit akiwa bado na tabasam
la furaha moyo wake uko na amani tere
2026-09-11 16:18:01
8
Clem_korro :
Mungu akubariki Mwenyekiti Tundu Lissu. Naona watawala wamechanganyikiwa. Wanashangaa na kujiuliza mbona una amani na furaha na wala huna huzuni pamoja na madhila yote wanaokufanyia. Continue to be strong. There is light at the end of the tunnel.
2026-09-11 16:09:03
6
JRKIDD :
never give up
2026-09-11 15:24:49
3
boscotheodory2 :
tuna kukubali mwenyekiti
2026-09-11 16:23:38
3
raymond87 :
never give up...
2026-09-11 15:52:21
3
Valencia :
mzee ungea kiswahili kuna watu fulan apo hawaelewi ngeli
2026-09-11 16:17:49
2
To see more videos from user @bbcnewsswahili, please go to the Tikwm
homepage.