@bbcnewsswahili: Unafahamu kiumbe gani ni hatari zaidi duniani? Hawa ndiyo viumbe 10 hatari zaidi kwa binadamu duniani kwa kuzingatia idadi ya vifo wanavyosababisha kila mwaka. @carorobi anaelezea orodha kamili #bbcswahili #wanyamahatari #utafiti #fyp #foryou

bbcnewsswahili
bbcnewsswahili
Open In TikTok:
Region: TZ
Saturday 12 September 2026 15:00:00 GMT
27514
1690
68
150

Music

Download

Comments

abdullahi.bin.ibr
ABDULLAHI BIN IBRAHEEM :
Even water it’s a creature and to my thinking capability is the most dangerous creature in the world
2026-09-12 15:05:17
0
255freeman7
Lion Billioneire :
umesahau wanawake
2026-09-12 15:19:37
10
dee_officially
𝐷𝑒𝑒_🦁 :
hivyo vifo ni vya watu au wanyama
2026-09-12 16:59:21
2
zubery77
zigeonlover :
jamani umesahau mapenzi ..mapenzi nayo yanauaa
2026-09-12 15:34:57
6
zombieicon45
zombie--icon✨ :
seriously
2026-09-12 15:16:50
2
amoura_as122
잔ㄴ지발 :
namba ni binadam ni zaid ya watu milion kwa mwaka ww tazama vita
2026-09-12 15:08:08
3
wvinjila
wvinjila :
apo weka Israel na USA
2026-09-12 15:04:23
1
bardden.yich
Angel Style Hub🔥 :
Me ni mchaga na cjawah jua kuna muuaji anaitwa chaga 😅
2026-09-12 15:55:08
6
born.to.suffer12
Born to suffer :
Kwa maoni yangu nahisi "Binadamu anasababisha vifo vingi zaidi kuliko hata hivyo ulivyotaja kwa mwaka. Kwa mfano ni watu wangapi wasio na hatia duniani wamekufa mwaka huu kwa vita nchini Irani, Israel, Ukraine, Russia, Syria, Yemen, South Sudan na nchi nyinginezo ? Wangapi wameuwawa na Makundi ya kigaidi ? Wangapi wamekufa kwa sababu ya ujambazi au ugomvi ?, Wangapi wameuwawa kwa sababu ya hila au wivu ?
2026-09-12 18:45:47
0
fredy.chacha.mkom
Fredy chacha mkome :
mmemuonea mbu wa watu namba 1 ni binadam Ukraine,Iran,mo29,marekani,south Africa, Sudan, urusi,Israel Palestine na wote ni makusudi
2026-09-12 19:15:11
0
osmanjayjr
WALLECY😁 :
binadam ndio namba Moja. marekani na Israel wanauwa watu wengi sana kwa mwaka. binadam anashika nafasi ya kwanza paka ya 5
2026-09-12 18:59:34
1
lemamolelilemamol
lemamolelilemamoln :
binadam nizaidi yasimba
2026-09-12 19:19:45
0
flashwapek
flash wa pekee :
hapna
2026-09-12 18:22:31
0
jasili.haachi.asili
kisamya barogi :
nafikir Kwa uelewa wangu namba 2 ingekuw mbu alafu namb 1 binadamu Maan hat hiyo mbu Ni matoleo ya binadamu maabara
2026-09-12 18:56:12
0
stratonshayo2
Madevu sound :
me nafikiri binadamu ndiyo no 1
2026-09-12 18:55:33
0
maulidzanzibar
Maulid Zanzibar :
Simba haendi kwa mganga
2026-09-12 17:57:32
0
asseycollection
Assey collection ❣️ :
mbu jmn ni noma ila amzidi binadamu jmn
2026-09-12 18:41:34
0
rosie.ngandu6
ROSIE NGANDU :
Ndiyo kweli
2026-09-12 17:46:57
0
sss_style7
sss :
no 1 netanyahu
2026-09-12 17:36:53
0
usinchunguze
J.kaaya :
Kuna mbu wa dengue na Oct Shirin nakenda
2026-09-12 18:18:59
0
allyamin3
HIDHIRI :
إِنّاللّهَلَا يَسْتَحْيِي أَن يَضْرِبَمَثَلًا مّا بَعُوضَةً فَمَا فَوْقَهَا “Hakika Allah haoni haya kutoa mfano hata wa mbu au kilicho juu yake.” (Al-Baqarah 2:26) 🌿 Funzo kubwa Mbu anaweza kuonekana kuwa kiumbe kidogo na kisicho na thamani, lakini Allah anatuonyesha kwamba hata kitu kidogo kabisa kinaweza kuwa na hekima na funzo kubwa.
2026-09-12 18:04:05
0
peki213
peki :
binaadamu ni namba moja, gaza wamekufa wangapi
2026-09-12 17:41:25
0
mbweni.jkt.zoo
MBWENI JKT ZOO :
nzuri
2026-09-12 15:05:08
0
To see more videos from user @bbcnewsswahili, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About