@simon.www.lutumo: Yanga hii ilikuwa yamoto sana kila sehemu na hapo katikati ya uwanja yalikuwa yanafanyika matusi matupu 🔥🔥🔥🔥kipindi hiki tulikuwa na Feisal on 🔥🔥,Aziz Ki on 🔥🔥,Mayele on 🔥🔥,Farid on 🔥🔥🔥Aucho on 🔥🔥🔥,Lomalisa on 🔥🔥,Chief Commander Bangala on 🔥🔥🔥,Morrison on 🔥🔥🔥oyaaaaa watu waliteseka kwa wivu mkubwa mno aisee🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻 #viralvideos #foryou #foryoupage #yangasc #daimambelenyumamwiko