@kipaza_afrika_mashariki: 🇹🇿🔥 Rufiji kujenga kiwanda cha zaidi ya Sh bilioni 700 Uwekezaji huo unahusisha kiwanda na shamba la miwa, huku ukitarajiwa kutoa ajira zaidi ya 5,000 na kuongeza uzalishaji wa sukari nchini. 🍬💰 🇹🇿🌱 Tazama video hii kujua zaidi kuhusu mradi huu mkubwa wa Rufiji! 🔥#ugandatiktok🇺🇬 #kenyantiktok #tanzaniatiktok #KIPAZA