@jsangijo: Nilifika makao Makuu madogo ya Chama Kusaini kitabu cha waombolezaji kufatiwa Kifo cha mzee wetu Hafidh Ameir Hassan Bwana Ametoa Bwana ametwaa Jina lake takatikifu lihimidiwe Amina 🙏 Pole sana Mhe.Raisi wa JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA kwa kuondokewa na mwenza wako mpendwa, Baba Yetu Mzee Hafidh Ameir Hassan. Mwenyezi Mungu akupe wewe pamoja na familia nguvu Katika kipindi hichi kigumu.